Daraja la J.P.Magufuli (Kigongo-Busisi) ni la 1 kwa urefu katika Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kati. Litaondoa tabu ya wananchi kutumia dakika 120

Daraja la J.P.Magufuli (Kigongo-Busisi) ni la 1 kwa urefu katika Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kati. Litaondoa tabu ya wananchi kutumia dakika 120

" Litaondoa tabu ya wananchi kutumia dakika 120 (masaa mawili) kusubiri kivuko hadi DAKIKA 4 tu kuvuka darajani ili maisha ya uzalishaji kiuchumi na kijamaa yaendelee"

Sijawahi kungoja kivuko kwa zaidi ya nusu saa
Kwahiyo ni Bora kungoja nusu saa alafu utumie zaidi dk 25 kuvuka au utmie dk 4 kwa daraja?
 
JPM angefanya maendeleo yale yale kwenye uwanja wa ndege Mwanza ingekuwa safi sana.
 
Pale waoga na walinda legacy wanapoliogopa na kujitahidi kwa kila halli kuliepuka jina la mama Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania.
Hawataki kabisa ionekane mama anafanya
 
Naona wamejikaza kutamka Jina MAGUFULI vinywani mwao. Wajitahidi kulizoea, maana Uchaguzi mwakani, watalazimika kulitamka kwenye kila Jukwaa.
 
Back
Top Bottom