Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Achana na kile kituko cha jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa kichina kupitia kampuni iitwayo CCC.. KItuko chenyewe ni kitu kipya nilichokisikia kwa mara ya kwanza pochi la mama/ pochi la mama limefunguka
Tafsiri yake ilikuwa ni rahisi sana.. Kwamba hiyo ni pesa ya mtu binafsi toka kwenye pochi lake na kaamua kufanya hisani.. Sikuwahi kudhani Bashungwa naye na usomi wake wote anaweza kuwa chawa promax
Mwaka jana November tuliambiwa serikali imetenga billion 300 za ujenzi wa daraja la Jangwani.. Hii maana yake ni kwamba yalishafanyika makisio yote kwa ajili ya hiyo Kazi.. Lakini kwa mshangao wa wengi jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa hilo daraja tuliambiwa litajengwa kwa billion 97 tuu.
Ninini kilitokea mwaka jana tulipoambiwa ni billion 300 na mwaka huu tunaambiwa ni billion 97?
Hiyo pungufu ama ziada ya billion 203 imekujaje kujaje?
Na VX V8?
Na Yutong?
Na Bodaboda?
Na Baiskeli? Ama na ungo?
Tanganyika..!
Tafsiri yake ilikuwa ni rahisi sana.. Kwamba hiyo ni pesa ya mtu binafsi toka kwenye pochi lake na kaamua kufanya hisani.. Sikuwahi kudhani Bashungwa naye na usomi wake wote anaweza kuwa chawa promax
Mwaka jana November tuliambiwa serikali imetenga billion 300 za ujenzi wa daraja la Jangwani.. Hii maana yake ni kwamba yalishafanyika makisio yote kwa ajili ya hiyo Kazi.. Lakini kwa mshangao wa wengi jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa hilo daraja tuliambiwa litajengwa kwa billion 97 tuu.
Ninini kilitokea mwaka jana tulipoambiwa ni billion 300 na mwaka huu tunaambiwa ni billion 97?
Hiyo pungufu ama ziada ya billion 203 imekujaje kujaje?
Na VX V8?
Na Yutong?
Na Bodaboda?
Na Baiskeli? Ama na ungo?
Tanganyika..!