Daraja la Jangwani litajengwa kwa billion 300 au billion 97?

Daraja la Jangwani litajengwa kwa billion 300 au billion 97?

Achana na kile kituko cha jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa kichina kupitia kampuni iitwayo CCC.. KItuko chenyewe ni kitu kipya nilichokisikia kwa mara ya kwanza pochi la mama/ pochi la mama limefunguka

Tafsiri yake ilikuwa ni rahisi sana.. Kwamba hiyo ni pesa ya mtu binafsi toka kwenye pochi lake na kaamua kufanya hisani.. Sikuwahi kudhani Bashungwa naye na usomi wake wote anaweza kuwa chawa promax

Mwaka jana November tuliambiwa serikali imetenga billion 300 za ujenzi wa daraja la Jangwani.. Hii maana yake ni kwamba yalishafanyika makisio yote kwa ajili ya hiyo Kazi.. Lakini kwa mshangao wa wengi jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa hilo daraja tuliambiwa litajengwa kwa billion 97 tuu.

Ninini kilitokea mwaka jana tulipoambiwa ni billion 300 na mwaka huu tunaambiwa ni billion 97?
Hiyo pungufu ama ziada ya billion 203 imekujaje kujaje?
Na VX V8?
Na Yutong?
Na Bodaboda?
Na Baiskeli? Ama na ungo?

Tanganyika..!View attachment 3133146
Waandishi wa habari wa Tanzania ni wapumbavu kama wapumbavu wengine tu! Mradi mbona unaunganisha na kazi zingine kwenye Jiji hili la Dar? Maana hapo kuna pesa nyingine 125 bilion zitafanya kazi zingine sambamba na mradi wa daraja. Sasa wao wanaripoti kama zote inatumika kwenye daraja!
 
Achana na kile kituko cha jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa kichina kupitia kampuni iitwayo CCC.. KItuko chenyewe ni kitu kipya nilichokisikia kwa mara ya kwanza pochi la mama/ pochi la mama limefunguka

Tafsiri yake ilikuwa ni rahisi sana.. Kwamba hiyo ni pesa ya mtu binafsi toka kwenye pochi lake na kaamua kufanya hisani.. Sikuwahi kudhani Bashungwa naye na usomi wake wote anaweza kuwa chawa promax

Mwaka jana November tuliambiwa serikali imetenga billion 300 za ujenzi wa daraja la Jangwani.. Hii maana yake ni kwamba yalishafanyika makisio yote kwa ajili ya hiyo Kazi.. Lakini kwa mshangao wa wengi jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa hilo daraja tuliambiwa litajengwa kwa billion 97 tuu.

Ninini kilitokea mwaka jana tulipoambiwa ni billion 300 na mwaka huu tunaambiwa ni billion 97?
Hiyo pungufu ama ziada ya billion 203 imekujaje kujaje?
Na VX V8?
Na Yutong?
Na Bodaboda?
Na Baiskeli? Ama na ungo?

Tanganyika..!View attachment 3133146
Ndio ubabaishaji huo na utapeli mwingi.

Mbaya zaidi hawaoni kuwa wana wajibu wa kueleza chochote, hata wakistuliwa. Toka Tsh. 300 bilioni hadi kufikia Tsh 97 bilioni; na michoro ya daraja ni ile ile?

Huo 'usomi' wa kujidhalilisha kiasi hicho, ni usomi gani huo?
 
Hapo kulikuwa kuna mipango ya kuiba pesa,haiwezekani daraja la busisi - kigongo ambalo lina urefu wa zaidi ya km 3 na baadhi ya nguzo zake zikijengwa kwenye maji lijengwe kwa bilioni 800 halafu hiko kidaraja cha jangwani kijengwe kwa bilioni 300!
ccm wapo kazini... Ukibisha unatekwa na kushughulikiwa
Itakuwa shillingi imepanda thamani.
Hao ndo ccm kwa rangi zao halisi
 
ccm wapo kazini... Ukibisha unatekwa na kushughulikiwa

Hao ndo ccm kwa rangi zao halisi
20241025_031251.jpg
 
Ndio ubabaishaji huo na utapeli mwingi.

Mbaya zaidi hawaoni kuwa wana wajibu wa kueleza chochote, hata wakistuliwa. Toka Tsh. 300 bilioni hadi kufikia Tsh 97 bilioni; na michoro ya daraja ni ile ile?

Huo 'usomi' wa kujidhalilisha kiasi hicho, ni usomi gani huo?
Waandishi hawafafanui vizuri bwana. Angalau Habari Leo walijaribu kufafanua ingawa bado hela haifuki 300 bilioni.
Screenshot_20241025-054151_WhatsApp.jpg
 
Back
Top Bottom