Daraja la Jangwani litajengwa kwa billion 300 au billion 97?

Daraja la Jangwani litajengwa kwa billion 300 au billion 97?

Hapo kulikuwa kuna mipango ya kuiba pesa,haiwezekani daraja la busisi - kigongo ambalo lina urefu wa zaidi ya km 3 na baadhi ya nguzo zake zikijengwa kwenye maji lijengwe kwa bilioni 800 halafu hiko kidaraja cha jangwani kijengwe kwa bilioni 300!
Urefu wa kamba
810bc65e-0370-4d26-b5ae-875ef3571412.jpeg
 
Achana na kile kituko cha jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa kichina kupitia kampuni iitwayo CCC.. KItuko chenyewe ni kitu kipya nilichokisikia kwa mara ya kwanza pochi la mama/ pochi la mama limefunguka

Tafsiri yake ilikuwa ni rahisi sana.. Kwamba hiyo ni pesa ya mtu binafsi toka kwenye pochi lake na kaamua kufanya hisani.. Sikuwahi kudhani Bashungwa naye na usomi wake wote anaweza kuwa chawa promax

Mwaka jana November tuliambiwa serikali imetenga billion 300 za ujenzi wa daraja la Jangwani.. Hii maana yake ni kwamba yalishafanyika makisio yote kwa ajili ya hiyo Kazi.. Lakini kwa mshangao wa wengi jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa hilo daraja tuliambiwa litajengwa kwa billion 97 tuu.

Ninini kilitokea mwaka jana tulipoambiwa ni billion 300 na mwaka huu tunaambiwa ni billion 97?
Hiyo pungufu ama ziada ya billion 203 imekujaje kujaje?
Na VX V8?
Na Yutong?
Na Bodaboda?
Na Baiskeli? Ama na ungo?

Tanganyika..!View attachment 3133146
Kwanini hizi pesa hazipitii bungeni?
 
Achana na kile kituko cha jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa kichina kupitia kampuni iitwayo CCC.. KItuko chenyewe ni kitu kipya nilichokisikia kwa mara ya kwanza pochi la mama/ pochi la mama limefunguka

Tafsiri yake ilikuwa ni rahisi sana.. Kwamba hiyo ni pesa ya mtu binafsi toka kwenye pochi lake na kaamua kufanya hisani.. Sikuwahi kudhani Bashungwa naye na usomi wake wote anaweza kuwa chawa promax

Mwaka jana November tuliambiwa serikali imetenga billion 300 za ujenzi wa daraja la Jangwani.. Hii maana yake ni kwamba yalishafanyika makisio yote kwa ajili ya hiyo Kazi.. Lakini kwa mshangao wa wengi jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa hilo daraja tuliambiwa litajengwa kwa billion 97 tuu.

Ninini kilitokea mwaka jana tulipoambiwa ni billion 300 na mwaka huu tunaambiwa ni billion 97?
Hiyo pungufu ama ziada ya billion 203 imekujaje kujaje?
Na VX V8?
Na Yutong?
Na Bodaboda?
Na Baiskeli? Ama na ungo?

Tanganyika..!View attachment 3133146
Hii nchi ukiwa serious utakufa kwa presha
 
Achana na kile kituko cha jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa kichina kupitia kampuni iitwayo CCC.. KItuko chenyewe ni kitu kipya nilichokisikia kwa mara ya kwanza pochi la mama/ pochi la mama limefunguka

Tafsiri yake ilikuwa ni rahisi sana.. Kwamba hiyo ni pesa ya mtu binafsi toka kwenye pochi lake na kaamua kufanya hisani.. Sikuwahi kudhani Bashungwa naye na usomi wake wote anaweza kuwa chawa promax

Mwaka jana November tuliambiwa serikali imetenga billion 300 za ujenzi wa daraja la Jangwani.. Hii maana yake ni kwamba yalishafanyika makisio yote kwa ajili ya hiyo Kazi.. Lakini kwa mshangao wa wengi jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa hilo daraja tuliambiwa litajengwa kwa billion 97 tuu.

Ninini kilitokea mwaka jana tulipoambiwa ni billion 300 na mwaka huu tunaambiwa ni billion 97?
Hiyo pungufu ama ziada ya billion 203 imekujaje kujaje?
Na VX V8?
Na Yutong?
Na Bodaboda?
Na Baiskeli? Ama na ungo?

Tanganyika..!View attachment 3133146
Serikali ya wahuni kila kitu kinaendeshwa kuhunihuni
 
Nilivyoona mchoro, nahisi kuna nakshi zimeondolewa, pia kwa nini liwe njia nne, sio sita, taking into account jiji linakua kwa kasi? Maana yake hicho kieneo kinaweza kuwa kiini cha foleni.

Ni yaleyale ya ramani ya flyover ya ubungo, mwanzo ili kuwa kiwango, ikachakachuliwq
 
Nilivyoona mchoro, nahisi kuna nakshi zimeondolewa, pia kwa nini liwe njia nne, sio sita, taking into account jiji linakua kwa kasi? Maana yake hicho kieneo kinaweza kuwa kiini cha foleni.

Ni yaleyale ya ramani ya flyover ya ubungo, mwanzo ili kuwa kiwango, ikachakachuliwq
Njia sita maana yake ubomoe majumba pale fire na magomeni,utalipa?!
 
Hapo kulikuwa kuna mipango ya kuiba pesa,haiwezekani daraja la busisi - kigongo ambalo lina urefu wa zaidi ya km 3 na baadhi ya nguzo zake zikijengwa kwenye maji lijengwe kwa bilioni 800 halafu hiko kidaraja cha jangwa kijengwe kwa bilioni 300!
Kuna qwamu Fulani,watumishi wazalendo walishindwa kudeliver,basi ili isiwetabu ,awamu iliajiri walioitwa"Tx",kama vipi,wa paste
 
Ila hapa hazijatajwa dola
Wala Shilingi.
Tusijitoe ufahamu, hakuna daraja mita 400 kwa gharama ya Shilingi bilioni 97.

Kwa hivyo kubali tu maelezo na documents zipo mtandaoni za mradi wote.
 
Achana na kile kituko cha jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa kichina kupitia kampuni iitwayo CCC.. KItuko chenyewe ni kitu kipya nilichokisikia kwa mara ya kwanza pochi la mama/ pochi la mama limefunguka

Tafsiri yake ilikuwa ni rahisi sana.. Kwamba hiyo ni pesa ya mtu binafsi toka kwenye pochi lake na kaamua kufanya hisani.. Sikuwahi kudhani Bashungwa naye na usomi wake wote anaweza kuwa chawa promax

Mwaka jana November tuliambiwa serikali imetenga billion 300 za ujenzi wa daraja la Jangwani.. Hii maana yake ni kwamba yalishafanyika makisio yote kwa ajili ya hiyo Kazi.. Lakini kwa mshangao wa wengi jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa hilo daraja tuliambiwa litajengwa kwa billion 97 tuu.

Ninini kilitokea mwaka jana tulipoambiwa ni billion 300 na mwaka huu tunaambiwa ni billion 97?
Hiyo pungufu ama ziada ya billion 203 imekujaje kujaje?
Na VX V8?
Na Yutong?
Na Bodaboda?
Na Baiskeli? Ama na ungo?

Tanganyika..!View attachment 3133146
Wale wanaopongeza means wanamlaumu yule aliyeidhinisha na kujenga Kituo cha Mwendokasi pale Jangwani,dah !
 
Wala Shilingi.
Tusijitoe ufahamu, hakuna daraja mita 400 kwa gharama ya Shilingi bilioni 97.

Kwa hivyo kubali tu maelezo na documents zipo mtandaoni za mradi wote.
Huku kubali tu maelezo bila kuhoji ndio kumetufikisha hapa kama taifa.. Uhalisia ni upi sasa katika hizo figure mbili
 
Back
Top Bottom