Urefu wa kambaHapo kulikuwa kuna mipango ya kuiba pesa,haiwezekani daraja la busisi - kigongo ambalo lina urefu wa zaidi ya km 3 na baadhi ya nguzo zake zikijengwa kwenye maji lijengwe kwa bilioni 800 halafu hiko kidaraja cha jangwani kijengwe kwa bilioni 300!
Wanapenda kuchanganya changanya ili msijue kama unatoka kushoto kwenda kulia au unatoka kulia kwenda kushotoKuna mradi kupitia tamisemi wa uendelezaji wa mto msimbazi ambao ni tofauti na daraja la kina bashungwa,
265 Billion Tanzanian Shillings..Tunataka uhalisia maana hizi sio pesa za mtu binafsi
Kwanini hizi pesa hazipitii bungeni?Achana na kile kituko cha jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa kichina kupitia kampuni iitwayo CCC.. KItuko chenyewe ni kitu kipya nilichokisikia kwa mara ya kwanza pochi la mama/ pochi la mama limefunguka
Tafsiri yake ilikuwa ni rahisi sana.. Kwamba hiyo ni pesa ya mtu binafsi toka kwenye pochi lake na kaamua kufanya hisani.. Sikuwahi kudhani Bashungwa naye na usomi wake wote anaweza kuwa chawa promax
Mwaka jana November tuliambiwa serikali imetenga billion 300 za ujenzi wa daraja la Jangwani.. Hii maana yake ni kwamba yalishafanyika makisio yote kwa ajili ya hiyo Kazi.. Lakini kwa mshangao wa wengi jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa hilo daraja tuliambiwa litajengwa kwa billion 97 tuu.
Ninini kilitokea mwaka jana tulipoambiwa ni billion 300 na mwaka huu tunaambiwa ni billion 97?
Hiyo pungufu ama ziada ya billion 203 imekujaje kujaje?
Na VX V8?
Na Yutong?
Na Bodaboda?
Na Baiskeli? Ama na ungo?
Tanganyika..!View attachment 3133146
Hii nchi ukiwa serious utakufa kwa preshaAchana na kile kituko cha jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa kichina kupitia kampuni iitwayo CCC.. KItuko chenyewe ni kitu kipya nilichokisikia kwa mara ya kwanza pochi la mama/ pochi la mama limefunguka
Tafsiri yake ilikuwa ni rahisi sana.. Kwamba hiyo ni pesa ya mtu binafsi toka kwenye pochi lake na kaamua kufanya hisani.. Sikuwahi kudhani Bashungwa naye na usomi wake wote anaweza kuwa chawa promax
Mwaka jana November tuliambiwa serikali imetenga billion 300 za ujenzi wa daraja la Jangwani.. Hii maana yake ni kwamba yalishafanyika makisio yote kwa ajili ya hiyo Kazi.. Lakini kwa mshangao wa wengi jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa hilo daraja tuliambiwa litajengwa kwa billion 97 tuu.
Ninini kilitokea mwaka jana tulipoambiwa ni billion 300 na mwaka huu tunaambiwa ni billion 97?
Hiyo pungufu ama ziada ya billion 203 imekujaje kujaje?
Na VX V8?
Na Yutong?
Na Bodaboda?
Na Baiskeli? Ama na ungo?
Tanganyika..!View attachment 3133146
Serikali ya wahuni kila kitu kinaendeshwa kuhunihuniAchana na kile kituko cha jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa kichina kupitia kampuni iitwayo CCC.. KItuko chenyewe ni kitu kipya nilichokisikia kwa mara ya kwanza pochi la mama/ pochi la mama limefunguka
Tafsiri yake ilikuwa ni rahisi sana.. Kwamba hiyo ni pesa ya mtu binafsi toka kwenye pochi lake na kaamua kufanya hisani.. Sikuwahi kudhani Bashungwa naye na usomi wake wote anaweza kuwa chawa promax
Mwaka jana November tuliambiwa serikali imetenga billion 300 za ujenzi wa daraja la Jangwani.. Hii maana yake ni kwamba yalishafanyika makisio yote kwa ajili ya hiyo Kazi.. Lakini kwa mshangao wa wengi jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa hilo daraja tuliambiwa litajengwa kwa billion 97 tuu.
Ninini kilitokea mwaka jana tulipoambiwa ni billion 300 na mwaka huu tunaambiwa ni billion 97?
Hiyo pungufu ama ziada ya billion 203 imekujaje kujaje?
Na VX V8?
Na Yutong?
Na Bodaboda?
Na Baiskeli? Ama na ungo?
Tanganyika..!View attachment 3133146
Daraja linaendana na kuendeleza bonde la mto msimbaziNazungumzia daraja
Njia sita maana yake ubomoe majumba pale fire na magomeni,utalipa?!Nilivyoona mchoro, nahisi kuna nakshi zimeondolewa, pia kwa nini liwe njia nne, sio sita, taking into account jiji linakua kwa kasi? Maana yake hicho kieneo kinaweza kuwa kiini cha foleni.
Ni yaleyale ya ramani ya flyover ya ubungo, mwanzo ili kuwa kiwango, ikachakachuliwq
Kijana wakati ana miaka 50B
Bashungwa naye ni mmoja wa vijana wa hovyo
Wewe ni zaidiB
Bashungwa naye ni mmoja wa vijana wa hovyo
Kuna qwamu Fulani,watumishi wazalendo walishindwa kudeliver,basi ili isiwetabu ,awamu iliajiri walioitwa"Tx",kama vipi,wa pasteHapo kulikuwa kuna mipango ya kuiba pesa,haiwezekani daraja la busisi - kigongo ambalo lina urefu wa zaidi ya km 3 na baadhi ya nguzo zake zikijengwa kwenye maji lijengwe kwa bilioni 800 halafu hiko kidaraja cha jangwa kijengwe kwa bilioni 300!
Wala Shilingi.Ila hapa hazijatajwa dola
Wale wanaopongeza means wanamlaumu yule aliyeidhinisha na kujenga Kituo cha Mwendokasi pale Jangwani,dah !Achana na kile kituko cha jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa kichina kupitia kampuni iitwayo CCC.. KItuko chenyewe ni kitu kipya nilichokisikia kwa mara ya kwanza pochi la mama/ pochi la mama limefunguka
Tafsiri yake ilikuwa ni rahisi sana.. Kwamba hiyo ni pesa ya mtu binafsi toka kwenye pochi lake na kaamua kufanya hisani.. Sikuwahi kudhani Bashungwa naye na usomi wake wote anaweza kuwa chawa promax
Mwaka jana November tuliambiwa serikali imetenga billion 300 za ujenzi wa daraja la Jangwani.. Hii maana yake ni kwamba yalishafanyika makisio yote kwa ajili ya hiyo Kazi.. Lakini kwa mshangao wa wengi jana kwenye utambulisho wa mkandarasi wa hilo daraja tuliambiwa litajengwa kwa billion 97 tuu.
Ninini kilitokea mwaka jana tulipoambiwa ni billion 300 na mwaka huu tunaambiwa ni billion 97?
Hiyo pungufu ama ziada ya billion 203 imekujaje kujaje?
Na VX V8?
Na Yutong?
Na Bodaboda?
Na Baiskeli? Ama na ungo?
Tanganyika..!View attachment 3133146
Huku kubali tu maelezo bila kuhoji ndio kumetufikisha hapa kama taifa.. Uhalisia ni upi sasa katika hizo figure mbiliWala Shilingi.
Tusijitoe ufahamu, hakuna daraja mita 400 kwa gharama ya Shilingi bilioni 97.
Kwa hivyo kubali tu maelezo na documents zipo mtandaoni za mradi wote.
Kwani shilingi ngapi?Njia sita maana yake ubomoe majumba pale fire na magomeni,utalipa?!