kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
Mishahara na posho za WatumishiWaweke na matumizi, utakuta zote hizo zinaenda kwenye matumizi na hazitoshi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mishahara na posho za WatumishiWaweke na matumizi, utakuta zote hizo zinaenda kwenye matumizi na hazitoshi.
Mimi sijui kwakuwa asilimia tisini na miradi inaendeshwa na serikali kuu wao mapato yao asilimia kubwa ni kulipana maposho hela ya taka tu tunachangishwa na huku tukilipa service levy Sasa sijui hizo service ni zipiHujui makusanyo ya manispaa yanafanya kazi gani,?
manispaa hazinaga miradi ya kimkakati Bora pesa zielekezwe serikali kuuKwenye mirad ya kimkakati
Umeambia 41m kwa siku mkuu.Lile daraja kwa siku linaweza kufika hata mil 10 kweli?
Serikali imekopa pesa nyingi sana kujenga miundombinu why mkopo wa daraja hili ulipwe na wana Kigamboni?Daraja la Kigamboni ambalo linaunganisha mji wa Kigamboni limekusanya bilioni 83 kama tozo za kuvuka daraja kwa miaka saba iliyopita.Daraja la Kigamboni lilijengwa kwa gharama ya $ 135 bilioni(337.5 bilioni)na kuwa la aina yake Afrika Mashariki.
Daraja la Nyerere ni mradi wa pamoja kati ya Serikali na NSSF. Mkurugenzi wa NSSF, Masha Mshomba amesema kwasasa daraja hilo linakusanya wastani wa bilioni 1.2-1.3 ambayo ni kama milioni 41 kwa siku.
Pamoja na ombi la kujirudiarudia la mbunge wa Kigamboni kuomba wananchi wapite bure, jambo hilo liligonga mwamba baada ya Rais Samia kusema limejengwa kwa mkopo na lazima urejeshwe.
Mkopo unakwisha lini? na hao wastaafu wananufaika vipi na faida itokanayo na huo mkopo?Pamoja na ombi la kujirudiarudia la mbunge wa Kigamboni kuomba wananchi wapite bure, jambo hilo liligonga mwamba baada ya Rais Samia kusema limejengwa kwa mkopo na lazima urejeshwe.
yaani gharama za mishahara, ulinzi, zile tiketi, umeme n.k ndo zizidi makusanyo ya milioni 41 kwa siku?Waweke na matumizi, utakuta zote hizo zinaenda kwenye matumizi na hazitoshi.
Time will tell.Waweke na matumizi, utakuta zote hizo zinaenda kwenye matumizi na hazitoshi.
1.gharama ni zaidi ya b300Gharama za ujenzi ni bilioni 200 plus ..
Kama limeingiza bilioni 83 ina maana nssf wanadai kama bilioni 120
Serikali ilipe deni ...hayo makusanyo yaende kwenye manispaa ya Kigamboni...
1.gharama ni zaidi ya b300
2.hio b 83 wanagawana serikali na nssf..me nachoona tuwape miaka mitano nssf warudishe hela yao..halafu serikali ilichukue iwaachie halmashauri ya kigamboni ila wabaki wanatoza magari pekee..Watembea kwa miguu iwe bure
Na lilijengwa kwa billion 60Daraja la Kigamboni ambalo linaunganisha mji wa Kigamboni limekusanya bilioni 83 kama tozo za kuvuka daraja kwa miaka saba iliyopita.Daraja la Kigamboni lilijengwa kwa gharama ya $ 135 bilioni(337.5 bilioni)na kuwa la aina yake Afrika Mashariki.
Daraja la Nyerere ni mradi wa pamoja kati ya Serikali na NSSF. Mkurugenzi wa NSSF, Masha Mshomba amesema kwasasa daraja hilo linakusanya wastani wa bilioni 1.2-1.3 ambayo ni kama milioni 41 kwa siku.
Pamoja na ombi la kujirudiarudia la mbunge wa Kigamboni kuomba wananchi wapite bure, jambo hilo liligonga mwamba baada ya Rais Samia kusema limejengwa kwa mkopo na lazima urejeshwe.
Wakati wa usiku lilipokuwa bado kigoliSawa mkuu ila ungesindikiza nakapicha ingependeza mkuu maana sio wote waliopo jf wamefika Dar japo wote umu tumetembea dunia nzima nanimatajiri [emoji1] [emoji1787]
Aerial viewSawa mkuu ila ungesindikiza nakapicha ingependeza mkuu maana sio wote waliopo jf wamefika Dar japo wote umu tumetembea dunia nzima nanimatajiri [emoji1] [emoji1787]
Zinaweza kuzidiLile daraja kwa siku linaweza kufika hata mil 10 kweli?
Sina hakikahv gari,(sijui ukubwa unamata) bajaji, pikipiki, baiskeli waenda kwa miguu ni bei gani kupita.
Double check your calculationsMilioni 40 kwa magari yenye uzito mdogo kabisa ni 1500
40,000,000/1500=2,666
Hizo ni trips 2666 ambapo kama mtu anaishi Kigamboni anaenda na kurudi. Wastani wa magari yasiyozidi 1300 kwa siku, punguza na mabasi ambayo yanapita hapo siku nzima kwa kurudia rudia..
Nadhani inawezekana..
Hili daraja limetusaidia sana sisi wa Kigamboni zaman hadi feri jamaniDaraja la Kigamboni ambalo linaunganisha mji wa Kigamboni limekusanya bilioni 83 kama tozo za kuvuka daraja kwa miaka saba iliyopita.Daraja la Kigamboni lilijengwa kwa gharama ya $ 135 bilioni(337.5 bilioni)na kuwa la aina yake Afrika Mashariki.
Daraja la Nyerere ni mradi wa pamoja kati ya Serikali na NSSF. Mkurugenzi wa NSSF, Masha Mshomba amesema kwasasa daraja hilo linakusanya wastani wa bilioni 1.2-1.3 ambayo ni kama milioni 41 kwa siku.
Pamoja na ombi la kujirudiarudia la mbunge wa Kigamboni kuomba wananchi wapite bure, jambo hilo liligonga mwamba baada ya Rais Samia kusema limejengwa kwa mkopo na lazima urejeshwe.
Wakimaliza mkopo wasiondoe tozo bali wapunguze tozo kwasababu kuna gharama za uendeshaji na gharama za ziada, (overhead expenses)Daraja la Kigamboni ambalo linaunganisha mji wa Kigamboni limekusanya bilioni 83 kama tozo za kuvuka daraja kwa miaka saba iliyopita.Daraja la Kigamboni lilijengwa kwa gharama ya $ 135 bilioni(337.5 bilioni)na kuwa la aina yake Afrika Mashariki.
Daraja la Nyerere ni mradi wa pamoja kati ya Serikali na NSSF. Mkurugenzi wa NSSF, Masha Mshomba amesema kwasasa daraja hilo linakusanya wastani wa bilioni 1.2-1.3 ambayo ni kama milioni 41 kwa siku.
Pamoja na ombi la kujirudiarudia la mbunge wa Kigamboni kuomba wananchi wapite bure, jambo hilo liligonga mwamba baada ya Rais Samia kusema limejengwa kwa mkopo na lazima urejeshwe.