Daraja la Kigamboni lakusanya bilioni 83 tangu kufunguliwa 2016. Makusanyo yafikia 1.3B kwa mwezi

Daraja la Kigamboni lakusanya bilioni 83 tangu kufunguliwa 2016. Makusanyo yafikia 1.3B kwa mwezi

Daraja la Kigamboni ambalo linaunganisha mji wa Kigamboni limekusanya bilioni 83 kama tozo za kuvuka daraja kwa miaka saba iliyopita.Daraja la Kigamboni lilijengwa kwa gharama ya $ 135 bilioni(337.5 bilioni)na kuwa la aina yake Afrika Mashariki.

Daraja la Nyerere ni mradi wa pamoja kati ya Serikali na NSSF. Mkurugenzi wa NSSF, Masha Mshomba amesema kwasasa daraja hilo linakusanya wastani wa bilioni 1.2-1.3 ambayo ni kama milioni 41 kwa siku.

Pamoja na ombi la kujirudiarudia la mbunge wa Kigamboni kuomba wananchi wapite bure, jambo hilo liligonga mwamba baada ya Rais Samia kusema limejengwa kwa mkopo na lazima urejeshwe.
Serikali imekopa pesa nyingi sana kujenga miundombinu why mkopo wa daraja hili ulipwe na wana Kigamboni?
 
Pamoja na ombi la kujirudiarudia la mbunge wa Kigamboni kuomba wananchi wapite bure, jambo hilo liligonga mwamba baada ya Rais Samia kusema limejengwa kwa mkopo na lazima urejeshwe.
Mkopo unakwisha lini? na hao wastaafu wananufaika vipi na faida itokanayo na huo mkopo?
 
Gharama za ujenzi ni bilioni 200 plus ..
Kama limeingiza bilioni 83 ina maana nssf wanadai kama bilioni 120
Serikali ilipe deni ...hayo makusanyo yaende kwenye manispaa ya Kigamboni...
1.gharama ni zaidi ya b300
2.hio b 83 wanagawana serikali na nssf..me nachoona tuwape miaka mitano nssf warudishe hela yao..halafu serikali ilichukue iwaachie halmashauri ya kigamboni ila wabaki wanatoza magari pekee..Watembea kwa miguu iwe bure
 
1.gharama ni zaidi ya b300
2.hio b 83 wanagawana serikali na nssf..me nachoona tuwape miaka mitano nssf warudishe hela yao..halafu serikali ilichukue iwaachie halmashauri ya kigamboni ila wabaki wanatoza magari pekee..Watembea kwa miguu iwe bure

Hata sasa watembea Kwa miguu bure na baiskeli bure
 
Daraja la Kigamboni ambalo linaunganisha mji wa Kigamboni limekusanya bilioni 83 kama tozo za kuvuka daraja kwa miaka saba iliyopita.Daraja la Kigamboni lilijengwa kwa gharama ya $ 135 bilioni(337.5 bilioni)na kuwa la aina yake Afrika Mashariki.

Daraja la Nyerere ni mradi wa pamoja kati ya Serikali na NSSF. Mkurugenzi wa NSSF, Masha Mshomba amesema kwasasa daraja hilo linakusanya wastani wa bilioni 1.2-1.3 ambayo ni kama milioni 41 kwa siku.

Pamoja na ombi la kujirudiarudia la mbunge wa Kigamboni kuomba wananchi wapite bure, jambo hilo liligonga mwamba baada ya Rais Samia kusema limejengwa kwa mkopo na lazima urejeshwe.
Na lilijengwa kwa billion 60

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu ila ungesindikiza nakapicha ingependeza mkuu maana sio wote waliopo jf wamefika Dar japo wote umu tumetembea dunia nzima nanimatajiri [emoji1] [emoji1787]
Wakati wa usiku lilipokuwa bado kigoli
e97a77f814b26232f0b7b8d5a9b17d2b.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Milioni 40 kwa magari yenye uzito mdogo kabisa ni 1500

40,000,000/1500=2,666

Hizo ni trips 2666 ambapo kama mtu anaishi Kigamboni anaenda na kurudi. Wastani wa magari yasiyozidi 1300 kwa siku, punguza na mabasi ambayo yanapita hapo siku nzima kwa kurudia rudia..

Nadhani inawezekana..
Double check your calculations
 
Daraja la Kigamboni ambalo linaunganisha mji wa Kigamboni limekusanya bilioni 83 kama tozo za kuvuka daraja kwa miaka saba iliyopita.Daraja la Kigamboni lilijengwa kwa gharama ya $ 135 bilioni(337.5 bilioni)na kuwa la aina yake Afrika Mashariki.

Daraja la Nyerere ni mradi wa pamoja kati ya Serikali na NSSF. Mkurugenzi wa NSSF, Masha Mshomba amesema kwasasa daraja hilo linakusanya wastani wa bilioni 1.2-1.3 ambayo ni kama milioni 41 kwa siku.

Pamoja na ombi la kujirudiarudia la mbunge wa Kigamboni kuomba wananchi wapite bure, jambo hilo liligonga mwamba baada ya Rais Samia kusema limejengwa kwa mkopo na lazima urejeshwe.
Hili daraja limetusaidia sana sisi wa Kigamboni zaman hadi feri jamani
 
Daraja la Kigamboni ambalo linaunganisha mji wa Kigamboni limekusanya bilioni 83 kama tozo za kuvuka daraja kwa miaka saba iliyopita.Daraja la Kigamboni lilijengwa kwa gharama ya $ 135 bilioni(337.5 bilioni)na kuwa la aina yake Afrika Mashariki.

Daraja la Nyerere ni mradi wa pamoja kati ya Serikali na NSSF. Mkurugenzi wa NSSF, Masha Mshomba amesema kwasasa daraja hilo linakusanya wastani wa bilioni 1.2-1.3 ambayo ni kama milioni 41 kwa siku.

Pamoja na ombi la kujirudiarudia la mbunge wa Kigamboni kuomba wananchi wapite bure, jambo hilo liligonga mwamba baada ya Rais Samia kusema limejengwa kwa mkopo na lazima urejeshwe.
Wakimaliza mkopo wasiondoe tozo bali wapunguze tozo kwasababu kuna gharama za uendeshaji na gharama za ziada, (overhead expenses)
 
Back
Top Bottom