Lambardi Platinum Member Joined Feb 7, 2008 Posts 18,813 Reaction score 21,830 May 31, 2024 #61 Nimepita leo nimewaza sana asante nimepata mwanga sasa tuko nusu duuuu safari bado kumbe.....
peno hasegawa JF-Expert Member Joined Feb 24, 2016 Posts 14,255 Reaction score 23,949 May 31, 2024 #62 Kwa ukubwa wa matumizi ya fedha nchini, na hakuna uzalishaji ni wizi Kila Kona, na mikopo mikubwa. Tukifika 2030 tutakuwa omba omba wote
Kwa ukubwa wa matumizi ya fedha nchini, na hakuna uzalishaji ni wizi Kila Kona, na mikopo mikubwa. Tukifika 2030 tutakuwa omba omba wote
B bnhai JF-Expert Member Joined Jul 12, 2009 Posts 2,832 Reaction score 2,390 May 31, 2024 #63 Extrovert said: Zikipelekwa halmashauri hizo fedha serikali itakuwa inapokea million 15 tu kwa siku. Zingine Mkurugenzi atakuwa anajimegea na kupeleka kiasi Magogoni kwa njia anazojua yeye 😁 hii ndio Tanzania. Click to expand... Hakuna magogoni. Huko halmashauri ..
Extrovert said: Zikipelekwa halmashauri hizo fedha serikali itakuwa inapokea million 15 tu kwa siku. Zingine Mkurugenzi atakuwa anajimegea na kupeleka kiasi Magogoni kwa njia anazojua yeye 😁 hii ndio Tanzania. Click to expand... Hakuna magogoni. Huko halmashauri ..