Daraja la SGR la Tanzania labomolewa

Daraja la SGR la Tanzania labomolewa

Uchunguzi wangu wa kina umebaini kuwa kuna sehemu la daraja la SGR hapo Dar limebomolewa. Hii ni kwa sababu ya planning mbaya ya serikali ya Tanzania. Mnajenga miradi ovyo ovyo bila kukaa chini na kufanya planning. Sasa daraja la reli linabomolewa kwa sababu linakinga flyover. Hili daraja lililobomolewa litachukua zaidi ya mwaka moja kulijenga tena. Mradi huu ulikuwa ukamilike mwaka uliopita lakini sasa sioni ukikamilika hadi Yesu arudi. Yaani kilomita 200 ya reli imewashinda kabisa kujenga na bado mnataka kushindana na Wakenya? Mbona msimalize ujenzi wa kilomita hizi chache kabla hamjakuja huku kulinganisha ukubwa wa korodani na majirani wenu?



Watu walio Dar wekeni picha.
Yaani kuchunguza udai umechunguza wewe, halafu picha unaomba kwa wengine...huyu mtu ana ubongo kichwani ama ugali!! 😀 😀
 
mkuu, mbona jamaa kaongea ukweli hapo sisi tunaona wewe ndio huna utimamu,kwani ni lini Bunge lilikaa likapitisha hiyo miradi ? mwenzako katoa fact ila wewe unamtusi
jiwe is spending a lot kama ma dikteta wenzie mfano Saddam Hussein alijenga majengo mazuri na ya aina yake Iraq ambayo hata Ulaya mpaka leo hakuna hata lakini wananchi walikufa njaa maelfu kwa mwezi
Pita na ukicha wako kule mekaa kama vicha nisinge pigia kura tahir mm yani kujenga ofisi mnachukua miaka 25 bado ni bora ya choo changu uko hapa unaongea ujinga tu...
 
Uchunguzi wangu wa kina umebaini kuwa kuna sehemu la daraja la SGR hapo Dar limebomolewa. Hii ni kwa sababu ya planning mbaya ya serikali ya Tanzania. Mnajenga miradi ovyo ovyo bila kukaa chini na kufanya planning. Sasa daraja la reli linabomolewa kwa sababu linakinga flyover. Hili daraja lililobomolewa litachukua zaidi ya mwaka moja kulijenga tena. Mradi huu ulikuwa ukamilike mwaka uliopita lakini sasa sioni ukikamilika hadi Yesu arudi. Yaani kilomita 200 ya reli imewashinda kabisa kujenga na bado mnataka kushindana na Wakenya? Mbona msimalize ujenzi wa kilomita hizi chache kabla hamjakuja huku kulinganisha ukubwa wa korodani na majirani wenu?



Watu walio Dar wekeni picha.
Weka picha za debris
 
mkuu, mbona jamaa kaongea ukweli hapo sisi tunaona wewe ndio huna utimamu,kwani ni lini Bunge lilikaa likapitisha hiyo miradi ? mwenzako katoa fact ila wewe unamtusi
jiwe is spending a lot kama ma dikteta wenzie mfano Saddam Hussein alijenga majengo mazuri na ya aina yake Iraq ambayo hata Ulaya mpaka leo hakuna hata lakini wananchi walikufa njaa maelfu kwa mwezi
Bajeti ipi haijapitishwa?
 
Kwa sasa hata mfumue hiyo SGR yote na kuanza upya au kusitisha kabisa haijalishi kitu maana mlizima upinzani, hakuna wa kuhoji tena, na mtakoma miaka mitano ijayo.......muhimu muonje nini moto wa kuishi bila ya mtu yeyote kuhoji madudu yanayotendeka.
Mkae mkishuhudia namna Kenya inavyopepea ndio mpate akili....
Haha we taahira unakufa kwa njaa na Corona juu bado madeni halafu unapata guts za kuifananisha na Tanzania, Somalia ndio level yenu 😅😅😅😅
 
Uchunguzi wangu wa kina umebaini kuwa kuna sehemu la daraja la SGR hapo Dar limebomolewa. Hii ni kwa sababu ya planning mbaya ya serikali ya Tanzania. Mnajenga miradi ovyo ovyo bila kukaa chini na kufanya planning. Sasa daraja la reli linabomolewa kwa sababu linakinga flyover. Hili daraja lililobomolewa litachukua zaidi ya mwaka moja kulijenga tena. Mradi huu ulikuwa ukamilike mwaka uliopita lakini sasa sioni ukikamilika hadi Yesu arudi. Yaani kilomita 200 ya reli imewashinda kabisa kujenga na bado mnataka kushindana na Wakenya? Mbona msimalize ujenzi wa kilomita hizi chache kabla hamjakuja huku kulinganisha ukubwa wa korodani na majirani wenu?



Watu walio Dar wekeni picha.

Tulia Mambo mzuri hayahitaji haraka
 
OK, asante sana kwa ufafanuzi sasa nimeelewa !
Vipi kuhusu Airforce one ummelewa kuwa sio ndege kubwa kuliko zote duniani?

Ila wewe na Gari yenu ya mkaa I bet ni model moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu acha wapumbavu waropoke. hii shule uliyowapa umepoteza nguvu zako bure. Tunawaambia kuwa tayari imeisha hiyooo na kibaraka wao tayari kafungiwa chumbani ubalozini. Yanayoendelea huko, hatujui.
Wanamla tu kiboga huko chumbani
 
mkuu, mbona jamaa kaongea ukweli hapo sisi tunaona wewe ndio huna utimamu,kwani ni lini Bunge lilikaa likapitisha hiyo miradi ? mwenzako katoa fact ila wewe unamtusi
jiwe is spending a lot kama ma dikteta wenzie mfano Saddam Hussein alijenga majengo mazuri na ya aina yake Iraq ambayo hata Ulaya mpaka leo hakuna hata lakini wananchi walikufa njaa maelfu kwa mwezi
Hivi ww unamfananisha magu na Sadam husein alafu mkiitwa manyumbu, mnakataa
 
Back
Top Bottom