Daraja la SGR la Tanzania labomolewa

Yaani kuchunguza udai umechunguza wewe, halafu picha unaomba kwa wengine...huyu mtu ana ubongo kichwani ama ugali!! 😀 😀
 
Pita na ukicha wako kule mekaa kama vicha nisinge pigia kura tahir mm yani kujenga ofisi mnachukua miaka 25 bado ni bora ya choo changu uko hapa unaongea ujinga tu...
 
Weka picha za debris
 
Bajeti ipi haijapitishwa?
 
Haha we taahira unakufa kwa njaa na Corona juu bado madeni halafu unapata guts za kuifananisha na Tanzania, Somalia ndio level yenu 😅😅😅😅
 

Tulia Mambo mzuri hayahitaji haraka
 
OK, asante sana kwa ufafanuzi sasa nimeelewa !
Vipi kuhusu Airforce one ummelewa kuwa sio ndege kubwa kuliko zote duniani?

Ila wewe na Gari yenu ya mkaa I bet ni model moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu acha wapumbavu waropoke. hii shule uliyowapa umepoteza nguvu zako bure. Tunawaambia kuwa tayari imeisha hiyooo na kibaraka wao tayari kafungiwa chumbani ubalozini. Yanayoendelea huko, hatujui.
Wanamla tu kiboga huko chumbani
 
Hivi ww unamfananisha magu na Sadam husein alafu mkiitwa manyumbu, mnakataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…