FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Mkopo toka korea kusiniLengo letu la kishamba la kuwa na daraja linalopita baharini limekamilika.
Kigamboni bridge linapita mtoni, au sio?Lengo letu la kishamba la kuwa na daraja linalopita baharini limekamilika.
Hili linaitwa Daraja la MAGUFULI ...!!!Waliite daraja la Masaki, tutakuwa na Selender bridges ngapi?
Ni kawaida madaraja kupita kwenye inlets. Kama hilo la kigamboni au lile la Busisi. Lakini kupitisha daraja baharini ili kuwa na daraja linalopita baharini ni ushamba mkubwa sana.Kigamboni bridge linapita mtoni, au sio?
Sawa, si limepita baharini lakini? Au ni ziwa lile?Ni kawaida madaraja kupita kwenye inlets. Kama hilo la kigamboni au lile la Busisi. Lakini kupitisha daraja baharini ili kuwa na daraja linalopita baharini ni ushamba mkubwa sana.
Bahari ni pana na ukiidefine kiujumla utapotea.Sawa, si limepita baharini lakini? Au ni ziwa lile?
Yale maji si sehemu ya bahari? Sasa tu-define kitu gani tena, au ni bwawa lile?Bahari ni pana na ukiidefine kiujumla utapotea.
Bahari ina inlets, estuary, gulf, bay, straits nk, nk. Hivi ni tofauti japo vyote vipo baharini.Yale maji si sehemu ya bahari? Sasa tu-define kitu gani tena, au ni bwawa lile?
Mpaka sasa sijaona kulikuwa na umuhimu gani wa mradi mkubwa kama huo sehemu ambayo tayari daraja lipo karibu tuu. Uwezo wetu wakufikiri uliishia kuwa tujenge daraja lingine pembeni? Au ni mradi wa watu?
Sasa vyote vipo baharini, ila daraja halipo baharini, we jamaa bhana..Bahari ina inlets, estuary, gulf, bay, straits nk, nk. Hivi ni tofauti japo vyote vipo baharini.
Umewawahi wafuasi wa Bashiru na Polepole.Mkopo toka korea kusini
Black Africans ni sawa na nyani ama ngedere kwa kutojitambua, yaani bado ni wanyama btw!Lengo letu la kishamba la kuwa na daraja linalopita baharini limekamilika.
Siyo kila eneo la bahari unaweza jenga daraja. Ndiyo maana nakwambia bahari ni pana.Sasa vyote vipo baharini, ila daraja halipo baharini, we jamaa bhana..