Ule ni mradi wa show off siyo mradi wa maendeleo.Black Africans ni sawa na nyani ama ngedere kwa kutojitambua, yaani bado ni wanyama btw!
Maendeleo yamefanywa kurahisisha maisha ya waja mtu unasema ushamba!
Kwako ulitaka nini kifanyike ili useme "sasa poa", ama ahsante?
Pesa isipofanya maendeleo ya kuonekana, hata maendeleo yasiyoonekana yanayoitwa maendeleo ya watu pia hayapo na pesa hizo huishia mifukoni mwa mumiani wanyonya jasho na damu ama kwa lugha nyingine "mafisi".
Nimejiuliz sana sabb ya kujenga daraja pasipo na faida. Umuhimi.. surrender so whatLengo letu la kishamba la kuwa na daraja linalopita baharini limekamilika.
Show off kwa kina nani?Ule ni mradi wa show off siyo mradi wa maendeleo.
Nchi za kiafrika zipo hivi toka enzi za uhuru. Walianzisha miradi ya kijinga kujionyesha kwamba wameendelea lakini kiuchumi haikuwa na faida yoyote.Nimejiuliz sana sabb ya kujenga daraja pasipo na faida. Umuhimi.. surrender so what
Kwa mazuzuShow off kwa kina nani?
Mazuzu wapiga kura sio?Kwa mazuzu
Mnagombania jina badala ya matumizi.Hili linaitwa Daraja la MAGUFULI ...!!!
Unabishana na huyo jamaa? Hamtamaliza. BTW: Haya ni matumizi mabaya kabisa ya fedha kwa nchi maskini kama yetu. Unajua wanasiasa hawana uchungu kabisa na maisha duni ya wananchi. Hili daraja sioni umuhimu wake kulinganisha na mambo mengine magumu kabisa wanayo-face wananchi.Bahari ni pana na ukiidefine kiujumla utapotea.
Mtu mwennye upeo finyu hawezi kujua unachosema. Tena huyo anayewaka namna hiyo utakuta pengine watoto au ndugu zake wanasomea chini ya miti.Ule ni mradi wa show off siyo mradi wa maendeleo.
We uko namtumbo utaonaje umuhimu wa daraja OysterbayLengo letu la kishamba la kuwa na daraja linalopita baharini limekamilika.
Huwezi ona umuhimu wakati wewe unaishi ulyankuluNimejiuliz sana sabb ya kujenga daraja pasipo na faida. Umuhimi.. surrender so what
Yaani hii dunia kiongozi......napata hisia kuwa kuna siku nitakimbia na kwenda kujiishia porini huko kimyaaaa maana ya binadamu yanachanganya sana!Kigamboni bridge linapita mtoni, au sio?
Ila la Kigamboni limejengwa si ndio? Na lipo baharini si ndio?Siyo kila eneo la bahari unaweza jenga daraja. Ndiyo maana nakwambia bahari ni pana.
Halichelewi kuitwa Samia Suluhu Hassan. Ni vema na hakiWaliite daraja la Masaki, tutakuwa na Selender bridges ngapi?
Ma injinia wanajuaMpaka sasa sijaona kulikuwa na umuhimu gani wa mradi mkubwa kama huo sehemu ambayo tayari daraja lipo karibu tuu. Uwezo wetu wakufikiri uliishia kuwa tujenge daraja lingine pembeni? Au ni mradi wa watu?
Daraja la Nyerere, lipe hadhi yake banaKigamboni bridge linapita mtoni, au sio?