TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Wakati nikitafakari viongozi wa kiafrika dhidi ya miradi inayowahusu wananchi wa kawaida huko mtaani, kwa mfano miradi kwa sehemu mbalimbali huko mikoani, utasikia choo au bafu limetumia 230 milions.
Hapa kwenye kipande hiki cha sinema hii nimeshangaa wanawahi kumuokoa huyo mama na hata baada ya kumtoa mgeni rasmi ameachwa afie huko, why this?.
NOTE: Tukio hili limetokea hapo drc.
Hapa kwenye kipande hiki cha sinema hii nimeshangaa wanawahi kumuokoa huyo mama na hata baada ya kumtoa mgeni rasmi ameachwa afie huko, why this?.
NOTE: Tukio hili limetokea hapo drc.