Daraja laporomoka waheshimiwa wakikata utepe kulifungua

Daraja laporomoka waheshimiwa wakikata utepe kulifungua

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Wakati nikitafakari viongozi wa kiafrika dhidi ya miradi inayowahusu wananchi wa kawaida huko mtaani, kwa mfano miradi kwa sehemu mbalimbali huko mikoani, utasikia choo au bafu limetumia 230 milions.

Hapa kwenye kipande hiki cha sinema hii nimeshangaa wanawahi kumuokoa huyo mama na hata baada ya kumtoa mgeni rasmi ameachwa afie huko, why this?.


NOTE: Tukio hili limetokea hapo drc.
 
Mumshukuru jiwe, bila yeye mngeisoma namba, mkiwa mnaenda kuhesabiwa disemba mkipita hapo mjue kuna mwamba toka chato alifanya ya kufanya
Jiwe ana pesa gani ya kujenga daraja?
Kwani Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK hawakujenga madaraja?

Na kabla ya daraja jipya wachaga walikuwa wanavuka kwa mitumbwi?
 
Ramli Iko wapi Ndugu Yangu? Kama una maslahi basi fuatilia watakupiga mapema Sana utaishia kudai. RRONDO video hio
Unajua hapa tunazungumzia daraja bovu lililofunguliwa ..sasa wewe unalitaja wami kama miongoni mwa daraja bovu...ndipo nikakujibu usilitakia hayo kwani nina maslahi nayo kama mtumiaji daraja
RRONDO
 
Unajua hapa tunazungumzia daraja bovu lililofunguliwa ..sasa wewe unalitaja wami kama miongoni mwa daraja bovu...ndipo nikakujibu usilitakia hayo kwani nina maslahi nayo kama mtumiaji daraja
RRONDO
Hahahahahahahaha wewe Jamaa umenivunja mbavu, dah Wacha nikalale
 
Back
Top Bottom