Daraja laporomoka waheshimiwa wakikata utepe kulifungua

Daraja laporomoka waheshimiwa wakikata utepe kulifungua

Hapa ni Tanzania kabisa.Acheni kusingizia kuwa in drc
Huwa nachungulia kwenye majukwaa ya nchi jirani huko, yaani Afrika karibu nchi zote hatuna tofauti kutokana na madudu yanayofanyika.

Kuna lingine huko Zimbabwe nalo limepinduka juu chini, bahati mamba hawakuwepo ilikuwa kiongozi aliwe.

Haya kule Zambia wananchi walishangilia kabisa.
 
naamini ule msemo wa Tanzania ni channel ya vichekesho huko
 
Back
Top Bottom