Mkuu daraja hilo nina maslahi nalo tafadhali acha ramli🤣Daraja la Wami kufungulia tarehe 20 September 2022
Mumshukuru jiwe, bila yeye mngeisoma namba, mkiwa mnaenda kuhesabiwa disemba mkipita hapo mjue kuna mwamba toka chato alifanya ya kufanyaDaraja la Wami kufungulia tarehe 20 September 2022
Kweni hela alitoa mfukoni kwake.Mumshukuru jiwe, bila yeye mngeisoma namba, mkiwa mnaenda kuhesabiwa disemba mkipita hapo mjue kuna mwamba toka chato alifanya ya kufanya
Jiwe ana pesa gani ya kujenga daraja?Mumshukuru jiwe, bila yeye mngeisoma namba, mkiwa mnaenda kuhesabiwa disemba mkipita hapo mjue kuna mwamba toka chato alifanya ya kufanya
Aaghh wapi, Hii mipango ilikuepo tu ilikua ni suala la mudaMumshukuru jiwe, bila yeye mngeisoma namba, mkiwa mnaenda kuhesabiwa disemba mkipita hapo mjue kuna mwamba toka chato alifanya ya kufanya
Ramli Iko wapi Ndugu Yangu? Kama una maslahi basi fuatilia watakupiga mapema Sana utaishia kudai. RRONDO video hioMkuu daraja hilo nina maslahi nalo tafadhali acha ramli🤣
Unajua hapa tunazungumzia daraja bovu lililofunguliwa ..sasa wewe unalitaja wami kama miongoni mwa daraja bovu...ndipo nikakujibu usilitakia hayo kwani nina maslahi nayo kama mtumiaji darajaRamli Iko wapi Ndugu Yangu? Kama una maslahi basi fuatilia watakupiga mapema Sana utaishia kudai. RRONDO video hio
Hahahahahahahaha wewe Jamaa umenivunja mbavu, dah Wacha nikalaleUnajua hapa tunazungumzia daraja bovu lililofunguliwa ..sasa wewe unalitaja wami kama miongoni mwa daraja bovu...ndipo nikakujibu usilitakia hayo kwani nina maslahi nayo kama mtumiaji daraja
RRONDO