Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hamna kituKumbillamoto Ilala
Diuui🤣🤣Wakati nikitafakari viongozi wa kiafrika dhidi ya miradi inayowahusu wananchi wa kawaida huko mtaani, kwa mfano miradi kwa sehemu mbalimbali huko mikoani, utasikia choo au bafu limetumia 230 milions.
Hapa kwenye kipande hiki cha sinema hii nimeshangaa wanawahi kumuokoa huyo mama na hata baada ya kumtoa mgeni rasmi ameachwa afie huko, why this?.
View attachment 2348077
NOTE: Tukio hili limetokea hapo drc.
Watanzania wajinga nawe umo, hakuna rais aliyejenga kitu chochote Tanzania ni serikali kwa kutumia kodi za watanzania, mbona barabara ilijengwa na mwingereza kwa kodi za wananchi na aliondoka.Mumshukuru jiwe, bila yeye mngeisoma namba, mkiwa mnaenda kuhesabiwa disemba mkipita hapo mjue kuna mwamba toka chato alifanya ya kufanya
Tozo zimekuchanganya weweKatika
Watanzania wajinga nawe umo, hakuna rais aliyejenga kitu chochote Tanzania ni serikali kwa kutumia kodi za watanzania, mbona barabara ilijengwa na mwingereza kwa kodi za wananchi na aliondoka.
Umeisha kabisa aiseeeeUle mteremko wameukata kabisa.
Ila sidhani kama mamba wetu watakuepo, Wachina wanakula mamba sana , Nyani Bado Wachache nimewaonaUle mteremko wameukata kabisa.
Ule ndio ulikuwa ukiwafanya Madereva kumaliza upepo haraka kabla ya kuingia Darajani.Umeisha kabisa aiseeee
Mamba nao waliwafaidi Watu waliokuwa wakitumbukia Mtoni baada ya maajali ya muda mrefu.Ila sidhani kama mamba wetu watakuepo, Wachina wanakula mamba sana , Nyani Bado Wachache nimewaona
Dugu moyaTakataka za chama chakavu hizo.
Lingejengwa tu hata na Samia.Nadhani ni maamuzi ya kuruhusu ujenzi.
Daraja limekataa unafiki
Wakati nikitafakari viongozi wa kiafrika dhidi ya miradi inayowahusu wananchi wa kawaida huko mtaani, kwa mfano miradi kwa sehemu mbalimbali huko mikoani, utasikia choo au bafu limetumia 230 milions.
Hapa kwenye kipande hiki cha sinema hii nimeshangaa wanawahi kumuokoa huyo mama na hata baada ya kumtoa mgeni rasmi ameachwa afie huko, why this?.
View attachment 2348077
NOTE: Tukio hili limetokea hapo drc.
daraja lilikuwa ktk hatua za ujenzi toka Che Mkapa wewe acha kushoboka!Mumshukuru jiwe, bila yeye mngeisoma namba, mkiwa mnaenda kuhesabiwa disemba mkipita hapo mjue kuna mwamba toka chato alifanya ya kufanya
Leta picha za site wakati wa mkapadaraja lilikuwa ktk hatua za ujenzi toka Che Mkapa wewe acha kushoboka!