Darasa Huru (DULLY SYKES) Vs Kama Unataka Demu (Q Chief) nani aliumiza zaidi kwenye chorus?

Darasa Huru (DULLY SYKES) Vs Kama Unataka Demu (Q Chief) nani aliumiza zaidi kwenye chorus?

Nipo hapa nasikiliza ngoma za zamani, hizi ngoma mbili zinazomilikiwa na Jos Mtambo(Darasa Huru) na Jay Mo(Kama unataka dem) zimenakshiwa vyema na chorus za hawa magwiji wawili wa chorus, kwangu mimi hizi ni miongoni mwa chorus kali sana kutokea tangu bongofleva imeanza, je ni nani alikamua zaidi ukilinganisha hizi chorus za nyimbo mbili?

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji444][emoji445]Darasa huru mambo si safi mpeto/shika lako,shika na la mwalimu/utashikwa mikono,utashikwa miguu,akili nyweeeele kila mtu anazo zake[emoji445][emoji444]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama unataka demu (sema unataka aweje aweje)
Kama ukienda boogie(ungependa atokejetokeje)
Marashi itakuwaje(angenukiaje?)
Na akiwa mtaani (ungependa atokeeejee)


Darasa huru, mambo si safi mpeto, shika lako shika na la mwalimu, utashikwa mikono, utashikwa miguu, akili nywele, kila mtu anazo zake

Wanafkinafki watu wa kupakazia yasowahusu wao kuingilia, maneno yao ni kama ya simba ukiyasikiliza unaweza ukawaaminia, oh wanock nock watu wa kusingizia madem wa watu washkaji wanawarukia, kumbe ni waongo wao wenyewe ndio wanaowatokea,, ni usawa wa ukweli na uwaaazi, ukimpenda mtu bwana, ukimtaka mtu mwambie ukweli sio kupazia

Radhia wangu ww namba one, nakupenda sana si utani, usisikize ngendembwe za jiranj, maana wao wana chuki asilan

Nimekufiafia nimekuzimikia kia mtoto wa geti kali, kwakuwa maisha yangu ya geto kukwambia naona hatari, km unaweza bby njoo tujivinjari, lakini je je unaweza kula ugali kulumangia kachumbari


Ama zangu ama zao wakibana wataachia wakiziba wakitega we tegua sema nao,.. Ni ama zangu ama zao kiama changu ama chao...

Kupiga debe kwangu ilikuwa poa, fani katika maisha ikaja kuniokoa, kwa radhi ya wazazi kijijini nikaoA, mke nilimshushA hadhi kuwa na machangu doa

Sina dem, kama unavyoniona mpenzi, ndio maana nimekuchagua ww ukidhi yangu mahitaji, sio kwamba mm sitaki demu ila sijamuona mwenye sifa, uzuri ulionao kama wewe malaika wangu

Nami nanata nadata, microphone kamata, changanya maneno kama karata, toa vingi viulizo kisha weka na nukta, data, na yangu
mistari ambayo tata, fyata mc katuni katu hautonipata, kitu gani sina, eti biti na vina, mpofu anataka jina, solo nataka heshima
 
Nipo hapa nasikiliza ngoma za zamani, hizi ngoma mbili zinazomilikiwa na Jos Mtambo(Darasa Huru) na Jay Mo(Kama unataka dem) zimenakshiwa vyema na chorus za hawa magwiji wawili wa chorus, kwangu mimi hizi ni miongoni mwa chorus kali sana kutokea tangu bongofleva imeanza, je ni nani alikamua zaidi ukilinganisha hizi chorus za nyimbo mbili?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mtanange ili unoge zaidi ungeongezea na Chorus ya Juma Nature kwenye wimbo wa Mike Tee wa NAMPENDA. Chorus inaimba,
Nampendaa,
Na sifa nakupa mnyakuibata,
Tusifuate ya wale wasiopenda yako mpenzi wangu x 2,
Nampenda mpenda, nani?
Msichana mmoja, nani?
Mweupe kidogo yaani nampenda nampenda,
Nyuma kajaza, nani?
Mfano wake, nani?
Anakwenda kwa pozi yaani nampenda nampenda..
 
Watasema mchana na usiku watalala wakiamka asubuhi naziendeleza bakora.
Huu wimbo wa sugu ft stara thomas( wanachotaka we upate tabu)
nimeuongezea kwenye list yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
All in all mziki wa miaka ya nyuma nyimbo nyingi zilikua na chorus nzuri. Pamoja na kuwa na verse kali zenye mistari na vina, ila effort kubwa pia ilikua inawekwa kwenye chorus. Tofauti na siku hiz beats ndo zinanogesha nyimbo. Siku hz unakuta chorus ukitoa biti ni kituko.. mfano nyimbo ya rayvanny ya chombo na nyingine kadhaa wa kadhaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kwangu kiitikio bora ni kile alichoimba komando jide ngoma ya kina MANDOJO NA DOMO KAYA inaitwa WANOK NOK
 
Kiitikio bora alichoimb dully ninachokikubali zaidi ni kile kwenye wimbo WANAPENDANA na Q chief kiitikio chake nachokikubali aliimba kwenye wimbo unaoitwa FANI KATIKA MAISHA(mpiga debe) ya MZIMUNI FAMILY
 
kwa chorus ya Dully ktk wimbo huo, Q Chief ungemuweka kwa chorus aliyowafanyia Mzimuni family, Fani katika Maisha..

Halafu kama unataka demu uiweke na maisha ya boarding. Hapo tutakuwa huru kujua nani alimfunika mwenzake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama unataka demu (sema unataka aweje aweje)
Kama ukienda boogie(ungependa atokejetokeje)
Marashi itakuwaje(angenukiaje?)
Na akiwa mtaani (ungependa atokeeejee)


Darasa huru, mambo si safi mpeto, shika lako shika na la mwalimu, utashikwa mikono, utashikwa miguu, akili nywele, kila mtu anazo zake

Wanafkinafki watu wa kupakazia yasowahusu wao kuingilia, maneno yao ni kama ya simba ukiyasikiliza unaweza ukawaaminia, oh wanock nock watu wa kusingizia madem wa watu washkaji wanawarukia, kumbe ni waongo wao wenyewe ndio wanaowatokea,, ni usawa wa ukweli na uwaaazi, ukimpenda mtu bwana, ukimtaka mtu mwambie ukweli sio kupazia

Radhia wangu ww namba one, nakupenda sana si utani, usisikize ngendembwe za jiranj, maana wao wana chuki asilan

Nimekufiafia nimekuzimikia kia mtoto wa geti kali, kwakuwa maisha yangu ya geto kukwambia naona hatari, km unaweza bby njoo tujivinjari, lakini je je unaweza kula ugali kulumangia kachumbari


Ama zangu ama zao wakibana wataachia wakiziba wakitega we tegua sema nao,.. Ni ama zangu ama zao kiama changu ama chao...

Kupiga debe kwangu ilikuwa poa, fani katika maisha ikaja kuniokoa, kwa radhi ya wazazi kijijini nikaoA, mke nilimshushA hadhi kuwa na machangu doa

Sina dem, kama unavyoniona mpenzi, ndio maana nimekuchagua ww ukidhi yangu mahitaji, sio kwamba mm sitaki demu ila sijamuona mwenye sifa, uzuri ulionao kama wewe malaika wangu

Nami nanata nadata, microphone kamata, changanya maneno kama karata, toa vingi viulizo kisha weka na nukta, data, na yangu
mistari ambayo tata, fyata mc katuni katu hautonipata, kitu gani sina, eti biti na vina, mpofu anataka jina, solo nataka heshima
Baba Jane alipopata mafao (mafao)
Tabia ikabdirika, ona sasa yamemkuta (aah)
Anabaki anajuta.

Chakushangaza sina kazi... nami nataka mahitaji.. nikitazama sina pesa ooh pesa
Nyumbani jiko limenuna, kazini wamenipa ridandasi watoto wanalia njaa, chakushangaza sina pesa ooh pesa eeh nyumbani jiko limenuna.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom