Darasa Huru (DULLY SYKES) Vs Kama Unataka Demu (Q Chief) nani aliumiza zaidi kwenye chorus?

Darasa Huru (DULLY SYKES) Vs Kama Unataka Demu (Q Chief) nani aliumiza zaidi kwenye chorus?

Kiitikio bora alichoimb dully ninachokikubali zaidi ni kile kwenye wimbo WANAPENDANA na Q chief kiitikio chake nachokikubali aliimba kwenye wimbo unaoitwa FANI KATIKA MAISHA(mpiga debe) ya MZIMUNI FAMILY
Ooh jamani, hali imebadirika mambo sio kama zamani..... mwana fa ft dully.. nakuunga mkono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wasanii watatu kuwahi kutokea tangu bongo fleva imeanzishwa kuwa na sauti ya kipekee kwenye kuimba chorus

Sauti ya tenal... sauti flani ivi nyembambaaa,nyororo, haiumiz masikio,na ni natural....achana na hizi za sikuizi wanazosaidiwa na vifaa

Sio wengine bali ni Sir Nature kiroboto, Dully Sykes na Q chilla tuu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wasanii watatu kuwahi kutokea tangu bongo fleva imeanzishwa kuwa na sauti ya kipekee kwenye kuimba chorus

Sauti ya tenal... sauti flani ivi nyembambaaa,nyororo, haiumiz masikio,na ni natural....achana na hizi za sikuizi wanazosaidiwa na vifaa

Sio wengine bali ni Sir Nature kiroboto, Dully Sykes na Q chilla tuu!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Na hao watatu tutabishana kupata nani mkali ila hatutafika mwisho.

Maana ukimsikiliza Nature unasema ni yeye, ukikaa ukamsikiliza Dully unasema ni yeye, baadae ukimsikiliza Chillah unaona kaua.
 
Isikilize vizuri mkuu shark utanambia

Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya ku-google imekuja hivi,
1548131023258.png
 
Ni wasanii watatu kuwahi kutokea tangu bongo fleva imeanzishwa kuwa na sauti ya kipekee kwenye kuimba chorus

Sauti ya tenal... sauti flani ivi nyembambaaa,nyororo, haiumiz masikio,na ni natural....achana na hizi za sikuizi wanazosaidiwa na vifaa

Sio wengine bali ni Sir Nature kiroboto, Dully Sykes na Q chilla tuu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kale katoto Blue kanajua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli bhanaa mkuu shark wote wapoView attachment 1001437

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha Ha ha,
Kweli Soggy amemaliza Ubishi,
Wengi tunajuaga ni Juma Nature peke yake aisee, hata hapo kwa Google mmoja tu ndo kamuweka Daz Baba,
Unajua naisikiliza hapa nime set iimbe chorus tu, aisee hata nami ndio nawasikia wote wawili,
Miaka yote nilikua najua Ni Juma Nature, ila sasa ndo naisikia pia sauti ya Daz Baba
 
Nipo hapa nasikiliza ngoma za zamani, hizi ngoma mbili zinazomilikiwa na Jos Mtambo(Darasa Huru) na Jay Mo(Kama unataka dem) zimenakshiwa vyema na chorus za hawa magwiji wawili wa chorus, kwangu mimi hizi ni miongoni mwa chorus kali sana kutokea tangu bongofleva imeanza, je ni nani alikamua zaidi ukilinganisha hizi chorus za nyimbo mbili?

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba hizo ngoma mkuu.. Nami nirudishe masaa nyuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja sana mkuu
Ha Ha ha,
Kweli Soggy amemaliza Ubishi,
Wengi tunajuaga ni Juma Nature peke yake aisee, hata hapo kwa Google mmoja tu ndo kamuweka Daz Baba,
Unajua naisikiliza hapa nime set iimbe chorus tu, aisee hata nami ndio nawasikia wote wawili,
Miaka yote nilikua najua Ni Juma Nature, ila sasa ndo naisikia pia sauti ya Daz Baba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba Jane alipopata mafao (mafao)
Tabia ikabdirika, ona sasa yamemkuta (aah)
Anabaki anajuta.

Chakushangaza sina kazi... nami nataka mahitaji.. nikitazama sina pesa ooh pesa
Nyumbani jiko limenuna, kazini wamenipa ridandasi watoto wanalia njaa, chakushangaza sina pesa ooh pesa eeh nyumbani jiko limenuna.



Sent using Jamii Forums mobile app


Wengine wanatiwa ndani wengine wanatiwa selo wengine wanaoza jela wengine waaaa... Tumbo joto kali p

Hili ni wimbi la njaa, hela ya bia hatuna sisi tunakunywa chang'a, kiuzushi uzushi mwanangu hatuzungushi, kilichobaki tukomae sisi kama sisi, haha ha hahaha... Wimbi la njaa sir nature

Wengi walikuwepo sasa hivi wako wapi (wako wapi}, balozi bado nipo ninapanda kwenye chati(kwenye chat), nashika ileile, ile moja nambaa natamba, kwa uhakika kila mwaka wa kubaki kwenye chat, yeeeea... Kwenye chat balozi

Yani Shwari hamna shari iiii,(mi na mabinti damdam kweliii) samani ziko wazi mwenye macho aone, heeeeiiiii.... Mabinti mwana fa

Maji yakishamwagika hayazoleki, maji yakishamwagika hayazoleki, maisha umeyachezea sasa mpenzi unajuta, maisha umeyachezea sasa mpenzi unalia, sister sister.... Sister sister, gk na pauline zongo


Parklane bado tupo kwenye floo hizi rhymes tunazokupa ni rhymes kubwa mno, itakayokufanya uzame kwenye shimo hii ni bab kubwa, masela semeni oooh oooh, masela semeni oooh oooh


Kila mmoja anapendeza(tshirt na jeans), hakuna inayomchukiza(tshirt na jeans), sitoweza kuiacha inanitoa chicha nami nawakilishaaa.... UVC tshirt na jeans

Kama, mike t ningekuwa staa., kama, ningekuwa na mkwanja kachaa, kama, ningekuwa mi mrefu na mkwanja kacha iringa town ningekuwa balaa... Kama ya mike t feat jay mo

Nyambizi Nakupenda, japo mkubwaa, mateso ninayopata usiku ni makubwa, naomba unielewe uwe wangu mchumba, nyambizi nakuoendaa japo mkubwa


Mzee wa busara, vishawishi vimponza mpaka kafanya msala, mzee wa busara, ni mzee ambaye tunaishi nae kwenye nyumba ya kupanga, mzee wa busara, vishawishi vimemponza mpaka kafanya msala, mzee wa busara, na tena majirani wanahisi huyu mwanga, mzee wa busara
 
Jana nimepitia kolabo zote za Mr Blue anapaswa apewe award unajua ameanza game mtoto lakini hana kolabo mbaya;
Hakeem 5 ft blue Mashaka
Top band fr blue nilikataa
Dully ft joslin and blue dhahabu
Pnc ft blue Mbona
Abby Skills ft Blue mimi na ww
Pingu na denso ft blue
Jonita
Ongezea zingine zile za zamani haswaa
 
Na hao watatu tutabishana kupata nani mkali ila hatutafika mwisho.

Maana ukimsikiliza Nature unasema ni yeye, ukikaa ukamsikiliza Dully unasema ni yeye, baadae ukimsikiliza Chillah unaona kaua.

Kwa enzi zile, yani enzi yao, hakuna aliyefika level za nature, kwanza ndie msanii naweza sema mpk sasa mwenye chorus nyingi za kushirikishwa, nakumbuka ilikuwa 2012 au 2013 kulikuwa na tamasha la koka kola mitaa
Ya coco beach pande za oysterbau enzi hizo nature anaendesha Mercedes Benz ya p funky, ile nature anaondoka coco mashabiki walimuomba azime gari wamsukume, mamaee walisukuma gari mpaka salender bridge ndio kila mtu akatawanyika na wana walitaka wamsukume mpaka temeke kwa mama kiroboto
 
Jana nimepitia kolabo zote za Mr Blue anapaswa apewe award unajua ameanza game mtoto lakini hana kolabo mbaya;
Hakeem 5 ft blue Mashaka
Top band fr blue nilikataa
Dully ft joslin and blue dhahabu
Pnc ft blue Mbona
Abby Skills ft Blue mimi na ww
Pingu na denso ft blue
Jonita
Ongezea zingine zile za zamani haswaa

Halafu dogo hajawahi kutoa nyimbo mbaya, kuna ile collabo alipiga na qchief ya NIPO huwa naikibali sana ile ngoma


Nipo nilikuwepo na nitakuwepo aha aha aha aha, nipo nilikuwepo na nitakuwepooooooooo, amani kwa masela tuliowaacha kitaani eee(peace and love) , amani kwa masela waliotutoka duniani mama weee(rest in peace), kwa mabaya nisengenyeni, kwa mazuri nisifieni eee, hiki kipaji kanipa mungu, majungu yanatoka wapiiii, machizi wangu halla back halla back halla back, masista duu piga kelele, oyee mr blue


Halafu kuna kazi alifanya blu na braza men mmoja sasa hivi yupo ujerumani mwanzo alijiita snoop lee, baadae akajiita snaa lee, sasa hivi anajiita snaa, nyimbo inaitwa mic nadaka, nahisi mpaka sasa hii nyimbo ndio nyimbo yenye chorus ndefu bongo

Ngoja, mic yenyewe moja, ma mc kama laki moja, kila mmoja hataki kungoja, kila mmoja anataka namba moja, ngoja, mic yenyewe moja, ma mc kama laki moja, kila mmoja hataki kungoja, kila mmoja anataka namba moja (microphone nadaka snoop lee, na heshima nazitaka snoop lee, kwa mabraza na madada snoop lee fanya fasta blue shika mic daka,)*blu*(microphone nadaka{B. L. U} na heshma nazitaka {B. L. U} kwa mabraza na madada mikono juu fanya fasta snoop lee shika mic daka
 
Back
Top Bottom