sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kudownload vitu kuna faida nyingi hasa katika nchi kama yetu
1. Endapo unakaa sehemu ambayo haina network nzuri ni vigumu kustream series za netflix maana itakua inaganda ganda kwasababu ya network.
2. Kustream series kwa vifurushi ni gharama kwa watu wa vipato vya chini, Hivyo wengi wanaweza kutumia vifurushi vya bei chee vya usiku ili kudownload na kucheki series mda wowote.
3. Hutasumbuka na torrents, Mfano Money Heist ilipotoka binafsi nliishusha hapo hapo wakatu bado haijapandishwa kwenye torrents, Pia kuna series ambazo hazipo torrent, wewe utaweza kuzshusha, Hutakuwa tena mtumwa wa hizi torrents
Haya turudi kwenye mada.
1. Ili kudownload series za netflix inabidi uwe na software inaitwa "FLIXGRAB", binafsi naitumia kwenye windows, sijajua kama ipo kwa android ama ios ya iphone na macbook.
2. Software utaipakua hapa >>> Flixgrab - free downloader for Netflix
3. Ukitaka kudownload series utaingia kwenye account yako ya netflix, utachagua series unayopenda na utaenda sehemu ya episodes
4. Uta right click kwenye episode unayoitaka na utaminya copy link location
View attachment 1478350
5. Utafungua flix grab na utaminya paste url
View attachment 1478351
Kumbuka kabla hujadownload unaweza kuchagua quality ya video, lugha ya audio na subtitles utazohitaji.
Pia unaweza kudownload season nzima au kuchagua episode unazotaka kushusha
Kitu cha muhimu ni kwamba kuna toleo la bure na toleo premium la elf 17 kwa miezi mitatu.
Toleo la bure hutaweza kudownload HD, utapata quality ya kawaida sana, ni kam 360 p ndio mwisho
Kama utahitaji kununua njia rahisi ni kutumia mpesa visa card, utaminya *150*00# >>4 >> 6 hapo uatengeneza kadi na utatumiwa meseji yenye taarifa za kadi zako utazotumia kufanyia muamala...Jaza kama elf 18 ndio ufanye muamala.
NAAJUA KUNA BAADHI WATATAFUTA NJIA MBADALA YA PREMIUM VERSION ZILIZOVUNJWA, KUFANYA HIVI NI KUHATARISHA USALAMA WA PC YAKO MAANA VIRUS HAWA WANAWEZA KUKUFUNGIA MAFAILI YOTE (NMESHUDIA KWA WATU WATATU), HERI UNUNUE TU MAANA INARUSU WATUMIAJI WATATU KWAHIO MNAWEZA KUJICHANGA
1. Endapo unakaa sehemu ambayo haina network nzuri ni vigumu kustream series za netflix maana itakua inaganda ganda kwasababu ya network.
2. Kustream series kwa vifurushi ni gharama kwa watu wa vipato vya chini, Hivyo wengi wanaweza kutumia vifurushi vya bei chee vya usiku ili kudownload na kucheki series mda wowote.
3. Hutasumbuka na torrents, Mfano Money Heist ilipotoka binafsi nliishusha hapo hapo wakatu bado haijapandishwa kwenye torrents, Pia kuna series ambazo hazipo torrent, wewe utaweza kuzshusha, Hutakuwa tena mtumwa wa hizi torrents
Haya turudi kwenye mada.
1. Ili kudownload series za netflix inabidi uwe na software inaitwa "FLIXGRAB", binafsi naitumia kwenye windows, sijajua kama ipo kwa android ama ios ya iphone na macbook.
2. Software utaipakua hapa >>> Flixgrab - free downloader for Netflix
3. Ukitaka kudownload series utaingia kwenye account yako ya netflix, utachagua series unayopenda na utaenda sehemu ya episodes
4. Uta right click kwenye episode unayoitaka na utaminya copy link location
View attachment 1478350
5. Utafungua flix grab na utaminya paste url
View attachment 1478351
Kumbuka kabla hujadownload unaweza kuchagua quality ya video, lugha ya audio na subtitles utazohitaji.
Pia unaweza kudownload season nzima au kuchagua episode unazotaka kushusha
Kitu cha muhimu ni kwamba kuna toleo la bure na toleo premium la elf 17 kwa miezi mitatu.
Toleo la bure hutaweza kudownload HD, utapata quality ya kawaida sana, ni kam 360 p ndio mwisho
Kama utahitaji kununua njia rahisi ni kutumia mpesa visa card, utaminya *150*00# >>4 >> 6 hapo uatengeneza kadi na utatumiwa meseji yenye taarifa za kadi zako utazotumia kufanyia muamala...Jaza kama elf 18 ndio ufanye muamala.
NAAJUA KUNA BAADHI WATATAFUTA NJIA MBADALA YA PREMIUM VERSION ZILIZOVUNJWA, KUFANYA HIVI NI KUHATARISHA USALAMA WA PC YAKO MAANA VIRUS HAWA WANAWEZA KUKUFUNGIA MAFAILI YOTE (NMESHUDIA KWA WATU WATATU), HERI UNUNUE TU MAANA INARUSU WATUMIAJI WATATU KWAHIO MNAWEZA KUJICHANGA