cmoney
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 3,570
- 5,508
Mwendo ni telegram channel tu unashusha series ka mzikiKwenye hii app unachek muvi ya mb 250 ikiwa clear kabisa kama hd yan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendo ni telegram channel tu unashusha series ka mzikiKwenye hii app unachek muvi ya mb 250 ikiwa clear kabisa kama hd yan
Telegram muvi moja kuishusha sio chini ya 800mb mkuuMwendo ni telegram channel tu unashusha series ka mziki
Nenda mkuu ukasechi kisha rudisha majibu hapaKwamba "series yoyote ile" hapana mzee; we sema tu unaweza kupata series nyingi tu!!!
Nipeni chaniel Telegram ..kwangu bundle sio tatizo .. nataka HD movie .Telegram muvi moja kuishusha sio chini ya 800mb mkuu
Shida hapa huwezi download .. unastream online. Option ya kudownload haipoWakuu msisumbuke sana,
Teatv, utapata kila kitu bora na series yoyote ile bure,
Kisha rudi unipe mrejesho.
Bila kusahau kwa ubora unaoutaka wewe.
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
ina option ya kudownload hii mkuu, japo ina mapungufu sometimes suntitle zinachelewa na ni baadhi tu ya series za netflix zipo humo, ila yote kwa yote inasaidia nayoShida hapa huwezi download .. unastream online. Option ya kudownload haipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna channel Wana HD kwa hadi mb 100Telegram muvi moja kuishusha sio chini ya 800mb mkuu
Kama zipi mkuuKuna channel Wana HD kwa hadi mb 100
dah mkuu mb 100 muvi yenye zaidi ya saa tena iwe HD🙄🙄Kuna channel Wana HD kwa hadi mb 100
Ipo chini ya basic inaitwa data saver, kuipata hadi uingie setting uichague, 1gb inaweza play season nzima kwa data saver yenye around episode 10.Nakubaliana na wewe! Zamani mara kwa mara nilikuwa na-subscribe NetFlix lakini baada ya miezi miwili mitatu, nikawa najitoa! Kilichokuwa kinanishinda ni bundle manake episode moja ilikuwa inakula roughly 1GB!
Baadae kabisa, nikaona wacha nijaribu Basic Plan (awali nilikuwa natumia Premium)! Tangu nianze kutumia Basic Plan ni almost mwaka sasa na sijajitoa kwa sababu GB moja ile ile naangalia almost 4 episodes!
Hapo ndipo nikagundua mchawi wangu alikuwa HD anayepatikana kwenye Premium Plan, na hadi sasa sijaona tofauti ya maana in terms of video ya quality!
Ukipata coder mzuri wa x265 episode ya around dk 40 inakuwa chini ya mb 100. Sema inategemea na bitrate.dah mkuu mb 100 muvi yenye zaidi ya saa tena iwe HD🙄🙄
Naona haina sauti na ni 480p sio hd hata quality ya kawaida ila labda kwenye simu itakua poa, ama kweli teknolojia inaenda kasi, lakini vipi kwa hd zile za 1080P mkuu??Ukipata coder mzuri wa x265 episode ya around dk 40 inakuwa chini ya mb 100. Sema inategemea na bitrate.
Na kwa Av1 inakuwa ndogo zaidi mfano hii video.
Hii ni trailer ya dakika 2 na sekunde 30 kwa mb 1.2 tu.
Hapo ni Around kb 500 kwa dakika, inamaana movie inaweza kuwa as low as mb 50 tu. Na episode chini ya hapo.
Tumia vlc kuiplay
Haina sauti sababu itakuwa kifaa chako kimeshindwa kuplay, ni tech mpya hio inabagua vifaa sana na mpaka sasa hakuna gpu inayocheza.Naona haina sauti na ni 480p sio hd hata quality ya kawaida ila labda kwenye simu itakua poa, ama kweli teknolojia inaenda kasi, lakini vipi kwa hd zile za 1080P mkuu??
netflix????View attachment 1479000
wazee wa kulipia acha tu mnione napenda kitonga elfu 18 ni kipande sio kinyonge, sasa ngoja niitest feedback baadaye
Thanks Chief, baadae itabidi nicheki manake kama sikosei setting yangu niliweka auto. Kuhusu device, binafsi natumia sana laptopIpo chini ya basic inaitwa data saver, kuipata hadi uingie setting uichague, 1gb inaweza play season nzima kwa data saver yenye around episode 10.
Sema data saver inafaa vifaa kama simu ama Tablet kwa tv itaonesha mchele mchele.