Darasa: Jinsi ya kudownload (Kupakua) series za Netflix

Laptop bora ubaki na Auto mkuu, data saver quality haitakuwa nzuri
Yah, nimeona kupungua kwa quality na kwahiyo nikarudi tena kwenye auto mbayo still ni bora maradufu (by means of affordability) kulinganisha na lile balaa ambalo nilijiunga nalo mwanzo!
 
Erdedrfbd3m
Wakuu msisumbuke sana,
Teatv, utapata kila kitu bora na series yoyote ile bure,
Kisha rudi unipe mrejesho.
Bila kusahau kwa ubora unaoutaka wewe.

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Krfdrreeeeegrggjfgrhgfdd Berf3eereefe444r4e

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teatv oyeeeeee, ukiacha hyo pia kuna moviebox pro nayo ni mwisho wa matatizo, wa Netflix endeleeni tu kwakwel.
 
Mkuu tunawezaje kumhack account ya Netflix tukawa tunastream Bure?
 
Hvi kulipia kwa mwezi ni bei gani netflix?
 
Hvi kulipia kwa mwezi ni bei gani netflix?
Kuna plan tofauti kwetu ya bei ya Chini ni Dola 7, kuna plan ya mobile only ya Dola 2 imeanza baadhi ya nchi Sema haijafika kwetu.

Pia zipo za magumashi cracked accounts na trial wanauza Dola 1 ama 2 kwa mwezi. Unapata eBay na website nyengine.
 
nikitaka kudownload season nzima nafanyaje? mbona inanigimea inataka episode mojamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…