BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Baada ya ukimya wa Darassa na kutoonekana kabisa mahali popote taarifa nyeti na za uhakika ni kwamba msanii Darassa amefungiwa na ndugu zake kwa baba yake mkubwa Kiwalani kutokana na matumizi ya unga.
Waliamua kuchukua hatua ili ndugu yao huyo asije kuwaaibisha mbele ya jamii kutokana na umaarufu wake alionao.
Vijana acheni madawa
Waliamua kuchukua hatua ili ndugu yao huyo asije kuwaaibisha mbele ya jamii kutokana na umaarufu wake alionao.
Vijana acheni madawa