Tetesi: Darasa kafungiwa na ndugu zake

Tetesi: Darasa kafungiwa na ndugu zake

Nyuma ya darasa kuna watu...

Wanaotaka kumpoteza kimziki baada ya kuwa tishio kwa tasnia ya bongofleva

Darasa hadi kuanza mtumizi ya madawa, waliokuwa wanaona siku za mbeleni atakuwa tishio, aliundiwa kundi lisilo pungua watu wa 4, ambao watakuwa marafiki zake na kumpa support kwenye musiki na kwenye maisha ya kawaida

Baada ya hao watu watu wa 4 kupenyezwa bila Darasa kujua malengo yao ni kitu gani aliwaamini kama marafiki zake kumbe lengo lao ni kumpoteza kwenye ulingo wa mziki bila kuacha ushahidi kuwa wao walihusika..

Njia walio tumia ni kumtilia madawa ya kulevya kwenye kinywaji kila alipo enda kwenye iwe kwenye
-Show
-Club
Wapo nae nyuma, na darasa maskini wa Mungu hakujua kama hao marafiki zake walikuwa na lengo gani kwake...

Njia iliyo tumika watabaki wanamlaumu darasa bila kujua ukweli
 
Nyuma ya darasa kuna watu...

Wanaotaka kumpoteza kimziki baada ya kuwa tishio kwa tasnia ya bongofleva

Darasa hadi kuanza mtumizi ya madawa, waliokuwa wanaona siku za mbeleni atakuwa tishio, aliundiwa kundi lisilo pungua watu wa 4, ambao watakuwa marafiki zake na kumpa support kwenye musiki na kwenye maisha ya kawaida

Baada ya hao watu watu wa 4 kupenyezwa bila Darasa kujua malengo yao ni kitu gani aliwaamini kama marafiki zake kumbe lengo lao ni kumpoteza kwenye ulingo wa mziki bila kuacha ushahidi kuwa wao walihusika..

Njia walio tumia ni kumtilia madawa ya kulevya kwenye kinywaji kila alipo enda kwenye iwe kwenye
-Show
-Club
Wapo nae nyuma, na darasa maskini wa Mungu hakujua kama hao marafiki zake walikuwa na lengo gani kwake...


Njia iliyo tumika watabaki wanamlaumu darasa bila kujua ukweli
jamaa teja la siku nyingi ina maana unataka kuwalaumu kina hanscanna?
 
Jamani very sad,

basi kuna watakaomlaumu humu...

ukweli addiction sio kwenye madawa tu, addiction iko kila mahali..kuna watu wako addicted na food,water,sleep,sex
etc{Reinforcers}

hata kuingiaga JF pia ni addiction,

sehemu kwenye ubongo ambayo watu wanaotumia madawa imewahi kuonyeshwa kuwa ni the same area, addiction nyinginezo kama food and water zinapokuwa reactivated...sijalifanyia uchunguzi lol....

sad,ila nachoshauri mumchunguze nini kilichompelekea kuanza kutumia madawa???kumfungia peke yake haitoshi,akitoka tu ujue ana relapse...

siku akiwa sober huko huko ndani mlipomfungia muulizeni nini matarajio yake,hofu yake ni nini...kama familia muonyeshe kumsapoti ,maana dunia kaiona haimsapoti hivyo kajaribu kuiblock kwa kutumia madawa ya kulevya...
[emoji106]
 
Nyuma ya darasa kuna watu...

Wanaotaka kumpoteza kimziki baada ya kuwa tishio kwa tasnia ya bongofleva

Darasa hadi kuanza mtumizi ya madawa, waliokuwa wanaona siku za mbeleni atakuwa tishio, aliundiwa kundi lisilo pungua watu wa 4, ambao watakuwa marafiki zake na kumpa support kwenye musiki na kwenye maisha ya kawaida

Baada ya hao watu watu wa 4 kupenyezwa bila Darasa kujua malengo yao ni kitu gani aliwaamini kama marafiki zake kumbe lengo lao ni kumpoteza kwenye ulingo wa mziki bila kuacha ushahidi kuwa wao walihusika..

Njia walio tumia ni kumtilia madawa ya kulevya kwenye kinywaji kila alipo enda kwenye iwe kwenye
-Show
-Club
Wapo nae nyuma, na darasa maskini wa Mungu hakujua kama hao marafiki zake walikuwa na lengo gani kwake...


Njia iliyo tumika watabaki wanamlaumu darasa bila kujua ukweli

Ana hela gani hadi afanyiwe mikakati hiyo , madawa kaanza piga mda mrefu mtu
 
Jamani very sad,

basi kuna watakaomlaumu humu...

ukweli addiction sio kwenye madawa tu, addiction iko kila mahali..kuna watu wako addicted na food,water,sleep,sex
etc{Reinforcers}

hata kuingiaga JF pia ni addiction,

sehemu kwenye ubongo ambayo watu wanaotumia madawa imewahi kuonyeshwa kuwa ni the same area, addiction nyinginezo kama food and water zinapokuwa reactivated...sijalifanyia uchunguzi lol....

sad,ila nachoshauri mumchunguze nini kilichompelekea kuanza kutumia madawa???kumfungia peke yake haitoshi,akitoka tu ujue ana relapse...

siku akiwa sober huko huko ndani mlipomfungia muulizeni nini matarajio yake,hofu yake ni nini...kama familia muonyeshe kumsapoti ,maana dunia kaiona haimsapoti hivyo kajaribu kuiblock kwa kutumia madawa ya kulevya...
Apewe kazi
 
Nyuma ya darasa kuna watu...

Wanaotaka kumpoteza kimziki baada ya kuwa tishio kwa tasnia ya bongofleva

Darasa hadi kuanza mtumizi ya madawa, waliokuwa wanaona siku za mbeleni atakuwa tishio, aliundiwa kundi lisilo pungua watu wa 4, ambao watakuwa marafiki zake na kumpa support kwenye musiki na kwenye maisha ya kawaida

Baada ya hao watu watu wa 4 kupenyezwa bila Darasa kujua malengo yao ni kitu gani aliwaamini kama marafiki zake kumbe lengo lao ni kumpoteza kwenye ulingo wa mziki bila kuacha ushahidi kuwa wao walihusika..

Njia walio tumia ni kumtilia madawa ya kulevya kwenye kinywaji kila alipo enda kwenye iwe kwenye
-Show
-Club
Wapo nae nyuma, na darasa maskini wa Mungu hakujua kama hao marafiki zake walikuwa na lengo gani kwake...

Njia iliyo tumika watabaki wanamlaumu darasa bila kujua ukweli
Humjui darasa zaidi ya kumuona kwenye video..


Nenda kiwalani ukaulize taarifa zake. Jamaa ni teja wa muda mrefu sema baada ya Kutoa single ya MAISHA NA MUZIKI alikuwa anakaa Makongo juu labda atakuwa aliacha japo sina imani.


So acha kutafuta mchawi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani very sad,

basi kuna watakaomlaumu humu...

ukweli addiction sio kwenye madawa tu, addiction iko kila mahali..kuna watu wako addicted na food,water,sleep,sex
etc{Reinforcers}

hata kuingiaga JF pia ni addiction,

sehemu kwenye ubongo ambayo watu wanaotumia madawa imewahi kuonyeshwa kuwa ni the same area, addiction nyinginezo kama food and water zinapokuwa reactivated...sijalifanyia uchunguzi lol....

sad,ila nachoshauri mumchunguze nini kilichompelekea kuanza kutumia madawa???kumfungia peke yake haitoshi,akitoka tu ujue ana relapse...

siku akiwa sober huko huko ndani mlipomfungia muulizeni nini matarajio yake,hofu yake ni nini...kama familia muonyeshe kumsapoti ,maana dunia kaiona haimsapoti hivyo kajaribu kuiblock kwa kutumia madawa ya kulevya...
Ni ujinga kumtetea mtu anayekula madawa kwa kupenda eti atoe sababu ambazo hazina mashiko? Kwa kweli sikuungi mkono kwa hapo.
Ulichokisema ni kweli kuwa sehemu hiyo hiyo moja ya ubongo ndo inayo affectiwa na addiction zote (inaijulikana kama prefrontal cortex ) ila nikuulize ulishawahi ona wapi mtu aliye kuwa addicted na sex,water,food etc amepata risk ya ku fail vital organs? Au amekufa kwa ajili ya hiyo addiction yake
Kikubwa? hao wanaotumia madawa ya kulevya yanapelekea ku affect viungo vyao ambavyo ni vital mfano ubongo hii inapelekea kushusha activity ya viungo vyote muhimu kama moyo,ini,kongosho,figo so kifo ni wazi wazi ila hizo addiction nyengine zinaweza kuwa treated na zikaisha bila side effect yoyote .
 
Hawa wafungia nyimbo "BASATA" kwa nini hawamfuatilii huyu msanii ili tujue ilikuwaje akajiingiza madawani na ikibidi wahusika wengine "watiwe" nguvuni?
 
jamaa teja la siku nyingi ina maana unataka kuwalaumu kina hanscanna?
Yaani JF bwana kwa ujuaji,yaani mtu afanye mwenyewe ujinga halafu walaumiwe wengine[emoji13] [emoji23] , kumbukumbu zinanionesha watu wake wa karibu walikuwa Hanscana, Abba,T-Touch na Mr VS. Yaani mtu aliyekuwa anawapa hela wanampotezaje[emoji23] [emoji23] ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duu! Wimbo wake ambao hata mzee wa upako alikua anauimba mbele ya waumini akiwa bwax. "acha maneno weka muziki".
 
Back
Top Bottom