Tetesi: Darasa kafungiwa na ndugu zake

Tetesi: Darasa kafungiwa na ndugu zake

Ni ujinga kumtetea mtu anayekula madawa kwa kupenda eti atoe sababu ambazo hazina mashiko? Kwa kweli sikuungi mkono kwa hapo.
Ulichokisema ni kweli kuwa sehemu hiyo hiyo moja ya ubongo ndo inayo affectiwa na addiction zote (inaijulikana kama prefrontal cortex ) ila nikuulize ulishawahi ona wapi mtu aliye kuwa addicted na sex,water,food etc amepata risk ya ku fail vital organs? Au amekufa kwa ajili ya hiyo addiction yake
Kikubwa? hao wanaotumia madawa ya kulevya yanapelekea ku affect viungo vyao ambavyo ni vital mfano ubongo hii inapelekea kushusha activity ya viungo vyote muhimu kama moyo,ini,kongosho,figo so kifo ni wazi wazi ila hizo addiction nyengine zinaweza kuwa treated na zikaisha bila side effect yoyote .

haya mkuu,inaonyesha unataka kusema hizo addiction zingine ziko less destructive na hivyo mtu kuchagua kutumia madawa ni maamuzi ya kijinga sababu madawa yako more destructive..

.sio kweli kuwa hizo addiction zingine ziko less destructive ,mfano Water inaweza kukuletea majanga kama utakunywa maji mengi in short time(water intoxication), food nayo kwa wingi nayo inaweza kuleta heart attack..etc

SAD,addiction is a process,one become addict not overnight but for a period/time,ndio maana hatujui mtu kwa mfano kama mwanamuziki Darasa anatumia madawa mpaka tumuone aki behave strangely in which case its too late sababu inakua atakua tayari ameshayatumia kwa muda….

halafu usiseme 'kapenda'...you have never been in his shoes and understand his daily struggle..


hizo unazoziita sababu zisizo na mashiko,ndizo hizo hizo zinazokuwa overlooked na mtu hapati msaada….mie nimefikiria kuwa msaada wa kitabibu inawezekana ni vigumu,ila tunaweza kwa pamoja kuishauri familia yake..

binafsi,sio mtaalam wa mambo haya,ila nafikiri,KUONDOA vitu vyote ambavyo vina act as reinforcers for him to seek self stimulation itakuwa first step...
 
Jamani very sad,

basi kuna watakaomlaumu humu...

ukweli addiction sio kwenye madawa tu, addiction iko kila mahali..kuna watu wako addicted na food,water,sleep,sex
etc{Reinforcers}

hata kuingiaga JF pia ni addiction,

sehemu kwenye ubongo ambayo watu wanaotumia madawa imewahi kuonyeshwa kuwa ni the same area, addiction nyinginezo kama food and water zinapokuwa reactivated...sijalifanyia uchunguzi lol....

sad,ila nachoshauri mumchunguze nini kilichompelekea kuanza kutumia madawa???kumfungia peke yake haitoshi,akitoka tu ujue ana relapse...

siku akiwa sober huko huko ndani mlipomfungia muulizeni nini matarajio yake,hofu yake ni nini...kama familia muonyeshe kumsapoti ,maana dunia kaiona haimsapoti hivyo kajaribu kuiblock kwa kutumia madawa ya kulevya...
Mi nina adiction ya kutafuta hela, is it bad too? (Warning: Sijasema nina hela)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
darasa ni kwamba kazidisha dozi tu...ila kama ni unga tu tangu zamani alikuwa anasnif....bange na pombe kwa sana

kwa waliowahi kukutana na kuongea naye jamaa watakubaliana na haya maneno yangu

kitambo jamaa anatumia hayo mavitu sema tu sijui nn kilimponza akajiongezea dozi
 
Na kwa sasa sanaa ya Bongo katika tasnia ya muziki ndio kama imevamiwa kwa kasi na hilo jinamizi. Wakikuona unasumbua sana "billboards" kwenye Station mbali mbali na wameshindwa kukuangusha kwa zile njia zao wanakutafutia upande huo huo wa udaga. Na hili ndilo lililomkuta Mr. Champion 255
Aiseee" lakini mbona jamaa alianzaga kitambo tu" kabla hajawa juu ya tasnia kimafanikio" baada ya mafanikio kuja ndio gari rasmi likawaka
 
Nyuma ya darasa kuna watu...

Wanaotaka kumpoteza kimziki baada ya kuwa tishio kwa tasnia ya bongofleva

Darasa hadi kuanza mtumizi ya madawa, waliokuwa wanaona siku za mbeleni atakuwa tishio, aliundiwa kundi lisilo pungua watu wa 4, ambao watakuwa marafiki zake na kumpa support kwenye musiki na kwenye maisha ya kawaida

Baada ya hao watu watu wa 4 kupenyezwa bila Darasa kujua malengo yao ni kitu gani aliwaamini kama marafiki zake kumbe lengo lao ni kumpoteza kwenye ulingo wa mziki bila kuacha ushahidi kuwa wao walihusika..

Njia walio tumia ni kumtilia madawa ya kulevya kwenye kinywaji kila alipo enda kwenye iwe kwenye
-Show
-Club
Wapo nae nyuma, na darasa maskini wa Mungu hakujua kama hao marafiki zake walikuwa na lengo gani kwake...

Njia iliyo tumika watabaki wanamlaumu darasa bila kujua ukweli
mshikaji mbona ni teja kitambo yule ".... acheni kutaka kutafuta public sympathy" labda uniambie kuwa jamaa walikuwa wanamuongezea dose" kinyume na hapo nitkuwa wa mwisho kuamini
 
darasa ni kwamba kazidisha dozi tu...ila kama ni unga tu tangu zamani alikuwa anasnif....bange na pombe kwa sana

kwa waliowahi kukutana na kuongea naye jamaa watakubaliana na haya maneno yangu

kitambo jamaa anatumia hayo mavitu sema tu sijui nn kilimponza akajiongezea dozi
dose kajiongezea baada ya mkwanja kwenye acc kuongezeka " wakati hana hela alikuwa kama anagongea tu"".... BIG aliwahi kusema more money more problems
 
dose kajiongezea baada ya mkwanja kwenye acc kuongezeka " wakati hana hela alikuwa kama anagongea tu"".... BIG aliwahi kusema more money more problems

kweli kabisa mkwanja umekuja na matatizo juu...


speaking of BIG na madawa nimekumbuka track moja ya BIG inaitwa 10 crack commandments

humo ndani anaongelea mambo 10 ya kufanya ili ufanikiwe kwenye biashara ya madawa na hizo commandments zinaaply sehemu nyingi sana... itafute hyo mkuu ule madini
 
kweli kabisa mkwanja umekuja na matatizo juu...


speaking of BIG na madawa nimekumbuka track moja ya BIG inaitwa 10 crack commandments

humo ndani anaongelea mambo 10 ya kufanya ili ufanikiwe kwenye biashara ya madawa na hizo commandments zinaaply sehemu nyingi sana... itafute hyo mkuu ule madini
hiyo" naitafuta mkuu" asante kwa hizo nondo
 
Mbona hata sura ya jamaa ilionyesha kua ni junkie? Since day one.

Labda sasa hivi ndiyo chuma kimepata moto
 
Back
Top Bottom