Tetesi: Darasa kafungiwa na ndugu zake

Tetesi: Darasa kafungiwa na ndugu zake

Tungepatapo hata kapicha kake imgekuwa poa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
La familia[emoji23] [emoji23] [emoji23]
FB_IMG_1534642360962.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kweli kabisa mkwanja umekuja na matatizo juu...


speaking of BIG na madawa nimekumbuka track moja ya BIG inaitwa 10 crack commandments

humo ndani anaongelea mambo 10 ya kufanya ili ufanikiwe kwenye biashara ya madawa na hizo commandments zinaaply sehemu nyingi sana... itafute hyo mkuu ule madini
Team Darasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu anayetumia unga ni mpumbavu, so wangemwacha afe na upumbavu wake

Sent using Jamii Forums mobile app
Umewahi jiuliza kwa nini watu hujinyonga?

Katika mitaa tuishiyo mtu akijinyonga watu wote huwa na simanzi na kutoamini why huyo mtu ajinyonge , lakini hautapita muda hata yule aliyelaumu mno tukio la awali naye kajinyonga.

It looks like kuna nguvu hasi humwingia mtu ili kujifanyia jambo baya la kujidhuru mwenyewe, hivyo basi ni vyema kumfariji aliyepatwa na shida yoyote katika jamii ili kuweza kumuokoa.

Unayemkaripia , kumsimanga na kumnyanyasa huenda kabakiza nusu saa kuona hamna jinsi na suluhisho pekee ni kujinyonga au kujiingiza katika tabia hatarishi kama ulevi wa pombe na madawa ya kulevya...!

Tuweni na upendo Jamani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani very sad,

basi kuna watakaomlaumu humu...

ukweli addiction sio kwenye madawa tu, addiction iko kila mahali..kuna watu wako addicted na food,water,sleep,sex
etc{Reinforcers}

hata kuingiaga JF pia ni addiction,

sehemu kwenye ubongo ambayo watu wanaotumia madawa imewahi kuonyeshwa kuwa ni the same area, addiction nyinginezo kama food and water zinapokuwa reactivated...sijalifanyia uchunguzi lol....

sad,ila nachoshauri mumchunguze nini kilichompelekea kuanza kutumia madawa???kumfungia peke yake haitoshi,akitoka tu ujue ana relapse...

siku akiwa sober huko huko ndani mlipomfungia muulizeni nini matarajio yake,hofu yake ni nini...kama familia muonyeshe kumsapoti ,maana dunia kaiona haimsapoti hivyo kajaribu kuiblock kwa kutumia madawa ya kulevya...
Ni kweli. Addiction zipo za aina nyingi. Lakini kuna zenye nafuu na kuna mbaya! Huwezi kumfananisha mwenye addiction ya madawa ya kulevya na mwenye addiction ya nyama choma!
 
haya mkuu,inaonyesha unataka kusema hizo addiction zingine ziko less destructive na hivyo mtu kuchagua kutumia madawa ni maamuzi ya kijinga sababu madawa yako more destructive..

.sio kweli kuwa hizo addiction zingine ziko less destructive ,mfano Water inaweza kukuletea majanga kama utakunywa maji mengi in short time(water intoxication), food nayo kwa wingi nayo inaweza kuleta heart attack..etc.

Sisy, this thing you talking about is very debatable.

Personally, I am of the view that ADDICTION ya nonrestrictive things is less destructive, unlike the Drugs Addiction!

Mfano: huwezi kufananisha the downsides of drugs addiction na downsides of water addiction or sex addiction.

Mwisho wa picha 'DRUGS ADDICTION' is always fatal !

-Kaveli-
 
Sisy, this thing you talking about is very debatable.

Personally, I am of the view that ADDICTION ya nonrestrictive things is less destructive, unlike the Drugs Addiction!

Mfano: huwezi kufananisha the downsides of drugs addiction na downsides of water addiction or sex addiction.

Mwisho wa picha 'DRUGS ADDICTION' is always fatal !

-Kaveli-

my young bro..

what I was trying to show,

is everyone has his/her own battle to fight....

unaweza kusema food addiction is not soo problematic...

but ukipata mtu yuko kitandani na stroke

utaona drug addiction sio mbaya kiviile

is how you see it...
 
Back
Top Bottom