Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,652
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usalama wa taifa wako busy BuyunguMadawa ya kulevya ni hot topic katika miaka hii. Hasa kwa kundi la vijana, serikali itusaidie idara nyeti kama ile ya usalama wa taifa inahitajika kukabiliana na hili janga
Team Darasakweli kabisa mkwanja umekuja na matatizo juu...
speaking of BIG na madawa nimekumbuka track moja ya BIG inaitwa 10 crack commandments
humo ndani anaongelea mambo 10 ya kufanya ili ufanikiwe kwenye biashara ya madawa na hizo commandments zinaaply sehemu nyingi sana... itafute hyo mkuu ule madini
Nipooooo, mihangaiko tu mingi Son!Miss you Ma'mkwe
Pole mom, endelea kupambana hadi signature yako iitwe Autograph.Nipooooo, mihangaiko tu mingi Son!
"PAMBANA MPK SIGNATURE YAKO IWE AUTOGRAPH"Pole mom, endelea kupambana hadi signature yako iitwe Autograph.
BTW hata salamu mom..
Umewahi jiuliza kwa nini watu hujinyonga?Mtu anayetumia unga ni mpumbavu, so wangemwacha afe na upumbavu wake
Sent using Jamii Forums mobile app
daz babaHip hop sio mziki salama, mbona wasanii wa kuimba huwasikii wakipata majanga km haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Nam mama ake.."PAMBANA MPK SIGNATURE YAKO IWE AUTOGRAPH"
Santee!!!
Ni kweli. Addiction zipo za aina nyingi. Lakini kuna zenye nafuu na kuna mbaya! Huwezi kumfananisha mwenye addiction ya madawa ya kulevya na mwenye addiction ya nyama choma!Jamani very sad,
basi kuna watakaomlaumu humu...
ukweli addiction sio kwenye madawa tu, addiction iko kila mahali..kuna watu wako addicted na food,water,sleep,sex
etc{Reinforcers}
hata kuingiaga JF pia ni addiction,
sehemu kwenye ubongo ambayo watu wanaotumia madawa imewahi kuonyeshwa kuwa ni the same area, addiction nyinginezo kama food and water zinapokuwa reactivated...sijalifanyia uchunguzi lol....
sad,ila nachoshauri mumchunguze nini kilichompelekea kuanza kutumia madawa???kumfungia peke yake haitoshi,akitoka tu ujue ana relapse...
siku akiwa sober huko huko ndani mlipomfungia muulizeni nini matarajio yake,hofu yake ni nini...kama familia muonyeshe kumsapoti ,maana dunia kaiona haimsapoti hivyo kajaribu kuiblock kwa kutumia madawa ya kulevya...
haya mkuu,inaonyesha unataka kusema hizo addiction zingine ziko less destructive na hivyo mtu kuchagua kutumia madawa ni maamuzi ya kijinga sababu madawa yako more destructive..
.sio kweli kuwa hizo addiction zingine ziko less destructive ,mfano Water inaweza kukuletea majanga kama utakunywa maji mengi in short time(water intoxication), food nayo kwa wingi nayo inaweza kuleta heart attack..etc.
Sisy, this thing you talking about is very debatable.
Personally, I am of the view that ADDICTION ya nonrestrictive things is less destructive, unlike the Drugs Addiction!
Mfano: huwezi kufananisha the downsides of drugs addiction na downsides of water addiction or sex addiction.
Mwisho wa picha 'DRUGS ADDICTION' is always fatal !
-Kaveli-
kazi ipi hiyo mkuuWameshamaliza kazi... Who's next? [emoji87][emoji87][emoji40][emoji125]