Tetesi: Darasa kafungiwa na ndugu zake

Tetesi: Darasa kafungiwa na ndugu zake

Nani anayaingiza tena na RC alishawadaka Wauza unga wote wakati ule.
 
Alipotoa wimbo mkubwa huku akipata pesa kiduchu
Pesa kiduchu kivipi na zilikuja lawama kuwa mashabiki wanamuhitaji haonekani.

Wakati wa hit song ya 'cheza muziki' alikuwa na uwezo wa kujaza uwanja kwenye Mkoa wowote ambao angeenda.
 
Pesa kiduchu kivipi na zilikuja lawama kuwa mashabiki wanamuhitaji haonekani.

Wakati wa hit song ya 'cheza muziki' alikuwa na uwezo wa kujaza uwanja kwenye Mkoa wowote ambao angeenda.

Basi alilewa sifa akasahau kuna kesho
 
Basi alilewa sifa akasahau kuna kesho
Sijui alikuwa na shida gani.

Ila zilikuja nyuzi nyingi tu humu jukwaani na kulalamikiwa kuwa pesa zipo kibao ila yeye haonekani kujituma akazichume.

Mpaka hata Kenya kule walilalamika nyimbo yake ni hit lakini hawajui kwa kumpata.
 
Sijui alikuwa na shida gani.

Ila zilikuja nyuzi nyingi tu humu jukwaani na kulalamikiwa kuwa pesa zipo kibao ila yeye haonekani kujituma akazichume.

Mpaka hata Kenya kule walilalamika nyimbo yake ni hit lakini hawajui kwa kumpata.
Alizimaa ghaflaa akati bado Muzikii ilikuwaa kwenyee pikiii kabisaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani very sad,

basi kuna watakaomlaumu humu...

ukweli addiction sio kwenye madawa tu, addiction iko kila mahali..kuna watu wako addicted na food,water,sleep,sex
etc{Reinforcers}

hata kuingiaga JF pia ni addiction,

sehemu kwenye ubongo ambayo watu wanaotumia madawa imewahi kuonyeshwa kuwa ni the same area, addiction nyinginezo kama food and water zinapokuwa reactivated...sijalifanyia uchunguzi lol....

sad,ila nachoshauri mumchunguze nini kilichompelekea kuanza kutumia madawa???kumfungia peke yake haitoshi,akitoka tu ujue ana relapse...

siku akiwa sober huko huko ndani mlipomfungia muulizeni nini matarajio yake,hofu yake ni nini...kama familia muonyeshe kumsapoti ,maana dunia kaiona haimsapoti hivyo kajaribu kuiblock kwa kutumia madawa ya kulevya...
Dopamine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
haya mkuu,inaonyesha unataka kusema hizo addiction zingine ziko less destructive na hivyo mtu kuchagua kutumia madawa ni maamuzi ya kijinga sababu madawa yako more destructive..

.sio kweli kuwa hizo addiction zingine ziko less destructive ,mfano Water inaweza kukuletea majanga kama utakunywa maji mengi in short time(water intoxication), food nayo kwa wingi nayo inaweza kuleta heart attack..etc

SAD,addiction is a process,one become addict not overnight but for a period/time,ndio maana hatujui mtu kwa mfano kama mwanamuziki Darasa anatumia madawa mpaka tumuone aki behave strangely in which case its too late sababu inakua atakua tayari ameshayatumia kwa muda….

halafu usiseme 'kapenda'...you have never been in his shoes and understand his daily struggle..


hizo unazoziita sababu zisizo na mashiko,ndizo hizo hizo zinazokuwa overlooked na mtu hapati msaada….mie nimefikiria kuwa msaada wa kitabibu inawezekana ni vigumu,ila tunaweza kwa pamoja kuishauri familia yake..

binafsi,sio mtaalam wa mambo haya,ila nafikiri,KUONDOA vitu vyote ambavyo vina act as reinforcers for him to seek self stimulation itakuwa first step...
Mdada uko na akili sana.
I guess utakua mtu wa health profession, au mwanasaikolojia/mshauri nasaha au taaluma inayofanana na hizo. If not,then hats off.
Nikija kwenye mada kuu, unajua kwenye masuala mazima ya addiction, sehemu kubwa ya tatizo ni hiki unachokiona hapa!! Lawama, kuona waliodumbukia katika addiction ni wakosaji sana na wapumbavu sana, kuwasema sana, na kadhalika. Hapo bado hujakutana na mifumo ya kiserikali na/au kipolisi ambayo inaweka mbele zaidi kuwatia jela/korokoroni wahanga wa addiction kuliko kuwapa msaada wa kitabibu na/au kisaikolojia.
Kuna sababu nyingi kweli za kupelekea addiction (za kitabibu, kisaikolojia, kijamii).
Watu hawaelewi kuwa hata ugonjwa wa akili pia unaweza kusababisha mtu akadumbukia katika uvutaji unga/bangi na kupelekea hadi katika addiction(ndio, drug abuse and addiction inaweza ikawa ni dalili ya ugonjwa wa akili!!).
Tukiachana na hayo, kama walivyoshuhudia wengine kwenye huu uzi kuwa Darasa alianza hizo tabia tangu kitambo kabla hajawa maarufu. Je, tunajua mazingira aliyokulia? Washikaji zake aliokua nao wakati anastruggle kutoka, je wangapi sio wahanga wa unga? Hao ndugu zake ambao inaripotiwa "wamemfungia" (kama ni kweli,na i hope sio kweli, bali wamempeleka sober house), je,angekua sio maarufu wangemfungia? Wamemfungia kumsaidia au kukwepa wao wasiaibike??
Watu hata hawajiulizi kwa watu kama hawa wasanii, je wana msaada gani wa kisaikolojia na/au kijamii katika kuendesha maisha yao pale ambapo wanapata umaarufu na pesa mara nyingine kwa ghafla na kwa mkupuo...(au inapotokea kinyume chake).
Hata hao wanaopiga kelele kwa hii thread, si ajabu ukiwapitisha kwenye mapito yale yale aliyopitia Darasa, asilimia 75 unaweza kukuta wanaishia kwenye mkumbo huo huo.
Hivi BASATA wamewahi hata kusugua vichwa vyao na kujiuliza wafanye nini kusaidia kupunguza wimbi hili la wasanii kudumbukia kwenye kubwia unga?
Alamsiki.
Rebeca 83



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bongo ni nchi rahisi sana kwa msanii aliyepotea kurudi kwenye chat kuliko sehemu nyingine yoyote ulimwenguni.....Tanzania imejaaliwa mashabiki wenye moyo wa kukushusha na kukupandisha pale wanapotaka pia Media (mf.Clouds) na wadau mbalimbali..so Darassa akijipanga, atarudi vizuri tu coz watu wamemmiss pia.
taja aliye fanyikiwa bada ya unga??
 
Back
Top Bottom