Tetesi: Darasa kafungiwa na ndugu zake

Tetesi: Darasa kafungiwa na ndugu zake

Kile kipindi alipopotezwa walimuazishia doze.. Sio kosa lake.. Si kila teja aliungua kwenye madawa kwa hiari.. Wengine wana story za kutishana nyuma yao...
Na kwa sasa sanaa ya Bongo katika tasnia ya muziki ndio kama imevamiwa kwa kasi na hilo jinamizi. Wakikuona unasumbua sana "billboards" kwenye Station mbali mbali na wameshindwa kukuangusha kwa zile njia zao wanakutafutia upande huo huo wa udaga. Na hili ndilo lililomkuta Mr. Champion 255
 
Kumfungia ndani haitoshi watafute na wataalamu wa hayo mambo kumtoa sumu jamaa alikuwa anaonekana mtu wa kujitambua sijui imekuaje kajiingiza huko chid benz kimebaki kichwa tu
Kimebaki kichwa na sauti
 
Baada ya ukimya wa Darassa na kutoonekana kabisa mahali popote taarifa nyeti na za uhakika ni kwamba msanii Darassa amefungiwa na ndugu zake kwa baba yake mkubwa Kiwalani kutokana na matumizi ya unga.

Waliamua kuchukua hatua ili ndugu yao huyo asije kuwaaibisha mbele ya jamii kutokana na umaarufu wake alionao.

Vijana acheni madawa
Hivi kwa nini clouds kila wanapopatia chumvi lazma paharibike?
 
Jamani very sad,

basi kuna watakaomlaumu humu...

ukweli addiction sio kwenye madawa tu, addiction iko kila mahali..kuna watu wako addicted na food,water,sleep,sex
etc{Reinforcers}

hata kuingiaga JF pia ni addiction,

sehemu kwenye ubongo ambayo watu wanaotumia madawa imewahi kuonyeshwa kuwa ni the same area, addiction nyinginezo kama food and water zinapokuwa reactivated...sijalifanyia uchunguzi lol....

sad,ila nachoshauri mumchunguze nini kilichompelekea kuanza kutumia madawa???kumfungia peke yake haitoshi,akitoka tu ujue ana relapse...

siku akiwa sober huko huko ndani mlipomfungia muulizeni nini matarajio yake,hofu yake ni nini...kama familia muonyeshe kumsapoti ,maana dunia kaiona haimsapoti hivyo kajaribu kuiblock kwa kutumia madawa ya kulevya...
Natamani familia yake isome hii comment!
 
Wale jamaa ukiambatana nao sana,mwisho wa siku huwa hivi.Kuna haja ya kuwafuatilia vizuri mienendo yao.Kuna madogo wawili mwaka jana walikuwa karibu saana na kikundi hicho.Tunasubiri muda utatupa jibu zuri.Pole sana DARASSA ndiyo Maisha japo kila siku tunakumbushana wakuambatana nao
 
sijui kama atarudi vile alivyokuwa mwanzo kimuzuki.
Bongo ni nchi rahisi sana kwa msanii aliyepotea kurudi kwenye chat kuliko sehemu nyingine yoyote ulimwenguni.....Tanzania imejaaliwa mashabiki wenye moyo wa kukushusha na kukupandisha pale wanapotaka pia Media (mf.Clouds) na wadau mbalimbali..so Darassa akijipanga, atarudi vizuri tu coz watu wamemmiss pia.
 
Jamani very sad,

basi kuna watakaomlaumu humu...

ukweli addiction sio kwenye madawa tu, addiction iko kila mahali..kuna watu wako addicted na food,water,sleep,sex
etc{Reinforcers}

hata kuingiaga JF pia ni addiction,

sehemu kwenye ubongo ambayo watu wanaotumia madawa imewahi kuonyeshwa kuwa ni the same area, addiction nyinginezo kama food and water zinapokuwa reactivated...sijalifanyia uchunguzi lol....

sad,ila nachoshauri mumchunguze nini kilichompelekea kuanza kutumia madawa???kumfungia peke yake haitoshi,akitoka tu ujue ana relapse...

siku akiwa sober huko huko ndani mlipomfungia muulizeni nini matarajio yake,hofu yake ni nini...kama familia muonyeshe kumsapoti ,maana dunia kaiona haimsapoti hivyo kajaribu kuiblock kwa kutumia madawa ya kulevya...
Kwa hiyo kwako adiction ya maji au pombe ni sawa na ya unga?
 
Daah Mungu awe pamoja nae hasa katika hiki kipindi kigumu sana kwny maisha yake.....he has a long long way to go.

Apigane na hyo addiction kwa njia yoyote atayoona ni sahihi.......Aache ulele mama na kubweteka na kukata tamaa.....

His power is on his own body, his mind, and his soul.

Maamuzi ni yake...na kujitoa kwnye hcho kifungo kupo mikononi mwake. Nothng's impossible under the sun
 
Back
Top Bottom