Starboywiz
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 867
- 1,455
"never em know your next move....."kweli kabisa mkwanja umekuja na matatizo juu...
speaking of BIG na madawa nimekumbuka track moja ya BIG inaitwa 10 crack commandments
humo ndani anaongelea mambo 10 ya kufanya ili ufanikiwe kwenye biashara ya madawa na hizo commandments zinaaply sehemu nyingi sana... itafute hyo mkuu ule madini
yeeeees u got em flows 🙌🙌💪💪👍👍"never em know your next move....."
"... never get high on your own supply.."
".. Keep your family and business completely separated
Money and blood don't mix like 2 d!cks and no b!tch.."
Sent using Jamii Forums mobile app
mara black mara white vipiDuh mzee wa unataka kiki kwa pikipiki
Kuacha madawa ni uamuzi binafsi
Sisy, this thing you talking about is very debatable.
Personally, I am of the view that ADDICTION ya nonrestrictive things is less destructive, unlike the Drugs Addiction!
Mfano: huwezi kufananisha the downsides of drugs addiction na downsides of water addiction or sex addiction.
Mwisho wa picha 'DRUGS ADDICTION' is always fatal !
-Kaveli-
addiction that lead you to your own death unasema asipate lawama..Jamani very sad,
basi kuna watakaomlaumu humu...
ukweli addiction sio kwenye madawa tu, addiction iko kila mahali..kuna watu wako addicted na food,water,sleep,sex
etc{Reinforcers}
hata kuingiaga JF pia ni addiction,
sehemu kwenye ubongo ambayo watu wanaotumia madawa imewahi kuonyeshwa kuwa ni the same area, addiction nyinginezo kama food and water zinapokuwa reactivated...sijalifanyia uchunguzi lol....
sad,ila nachoshauri mumchunguze nini kilichompelekea kuanza kutumia madawa???kumfungia peke yake haitoshi,akitoka tu ujue ana relapse...
siku akiwa sober huko huko ndani mlipomfungia muulizeni nini matarajio yake,hofu yake ni nini...kama familia muonyeshe kumsapoti ,maana dunia kaiona haimsapoti hivyo kajaribu kuiblock kwa kutumia madawa ya kulevya...
addiction that lead you to your own death unasema asipate lawama..
Sent using Jamii Forums mobile app
hata ukimlaumu itasaidia nini?there's a better way to help him,blaming him is not one of them1
Wamsaidie kwamba alikuwa hajui madhara ya unga?
Huyu jamaa si kazaliwa hapa Tz anasikia akina ray c, chid benz, ranga, 20%, ngwair na wengine kibao wanahangaika na unga yeye akaamua aende kuthibitisha kama kweli wanapata tabu!
Mwache avune alichopanda!
Sent from my iPhone using JamiiForums
mbona beer mnakunywa japokua ina adverse health effects...??
mbona sigara watu wanavuta japo ina madhara?
madawa ya kulevya sio ya Tanzania tu,bali ulimwenguni.kote
hata nchi nyingine,wamejua kuzuia addiction isn't an easy task
hivyo wanajenga vituo vya watu kupata msaada
NA SIO kuwaacha addicts waendelee na kutumia dawa,
hawa addicts ni ndugu zetu,kaka mjomba baba,dada
utamuacha ndugu yako a perish???
wakati kuna uwezekano wa kumrudisha akawa mzima tena?!
Baada ya ukimya wa Darassa na kutoonekana kabisa mahali popote taarifa nyeti na za uhakika ni kwamba msanii Darassa amefungiwa na ndugu zake kwa baba yake mkubwa Kiwalani kutokana na matumizi ya unga.
Waliamua kuchukua hatua ili ndugu yao huyo asije kuwaaibisha mbele ya jamii kutokana na umaarufu wake alionao.
Vijana acheni madawa
Me nahisi una wazo zuri la kusaidia jamii lakini unakosea jinsi ya kuli-address ili jamii ipone!
Utumike utaratibu wa kutoa elimu katika ngazi zote hasa kwa vyombo vya habari na mijadala mikubwa juu ya athari za unga!
Pili njia nyingine ya kuisaidia jamii sio lazima uipe sukari sometime jamii ipewe shubiri ili wajifunze kutokana na huo uchungu wanaopata, binafsi wasisaidiwe waachwe liwe funzo kwa wengine.
Mimi, wewe na huyo addict tutakufa so haina haja ya kupoteza pesa wakati mwenzetu kachagua kifo cha aina hiyo, mwache atangulie nasi tutafata kwa namna nyingine!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Am addicted to you...lolJamani very sad,
basi kuna watakaomlaumu humu...
ukweli addiction sio kwenye madawa tu, addiction iko kila mahali..kuna watu wako addicted na food,water,sleep,sex
etc{Reinforcers}
hata kuingiaga JF pia ni addiction,
sehemu kwenye ubongo ambayo watu wanaotumia madawa imewahi kuonyeshwa kuwa ni the same area, addiction nyinginezo kama food and water zinapokuwa reactivated...sijalifanyia uchunguzi lol....
sad,ila nachoshauri mumchunguze nini kilichompelekea kuanza kutumia madawa???kumfungia peke yake haitoshi,akitoka tu ujue ana relapse...
siku akiwa sober huko huko ndani mlipomfungia muulizeni nini matarajio yake,hofu yake ni nini...kama familia muonyeshe kumsapoti ,maana dunia kaiona haimsapoti hivyo kajaribu kuiblock kwa kutumia madawa ya kulevya...