maramakoga
Member
- Jul 6, 2015
- 27
- 32
Haaaaa lini ameingia kweny gem we jamaaaa[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Darasa n msanii anaekuja kwa kas (hana mda mrefu kwenye gem).. lakn kumfansha na joh makn n kumkosea heshma mwamba wa kaskazn
Huyo mzee wa kukopi kwenye vitabu sawa hip hop anaijua lkn Joh ndio King.. anahits nyingi sana kuliko Fid QJoh anaimba nini ww Mwl wao fareed qubanda kwa anaeielewa hip hop!
Kumbe unazani sifa ya hip hop ni mauzo? Yaani unaipima hip hop kwa kigezo cha mauzo asee, u can't be serious...u have a lot to learn about hip hop son!! [emoji119] [emoji119]Rap ni rap tu ata iimbwe kwa mtindo upi.. Ata trap japo inapondwa ndio inayouza duniani kwa sasa.. Karibu mjini!
acha kumfananisha joh na vitu vya kijingaNi kawaida ya wasanii kupokezana vijiti yani kutesa kwa zamu.
Kama ilivyokuwa game ya video ilikuwa ya Adam Juma na sasa kamuachia Hanscana... Marco Chali kamwachia Nah real kwenye audio production... Jide kamwachia Vanessa Mdee kwenye rnb....Majuto alivyomwachia Joti kwenye comedy... Chidi Beenz alivyomwachia Nay kwenye game ya rap.... Ndio hivyo na sasa Nay wa Mitego kamwachia kijiti msela kutoka Kiwalani wakuitwa Darasa.
Kwa sasa game ya rap ni ya Darasa... Darasa ndio game ya rap ndani ya Bongo.
Vipi mambo by Mchizi Moxtoa mfano wa nyimbo tulinganishe acha kutoa sifa tu
ingia hapo chini unavoanza kushuka pameandikwa post new threadnaomba nifundishwe jinsi ya kuweka uzi or thread jf please
joh amekuepo kabla ya weusi na joh atendelea kuwepo coz flow zake kila siku anabadilika aliyemsikiliza joh wa hawapendi kuniona kwenye tv na aliyemsikiliza joh chochote popote sio joh wa karibu tena kwenye show za joh kila siku anabadilika asiyempenda joh anawakati mgumu sana sikiliza ngoma aliyofanya na fundi samweli nikumbatie Joh ataendelea kuwaburuzaJoh hajatrend kiivyo sema anatembelea chata ya Weusi.
Joh kashikilia Game mpaka darasa atakuja kupotea atamwacha johHauwezi kumfananisha Joh na Darasa,unaukosea heshima mziki wa Bongo. Kama ni mahaba kwa darasa nenda ukampikie umeonyeshe mahaba
Darasa alinganishwe na stamina au young killerDarasa alinganishwe na Mchizi mox.
asante we jamaa unajua mziki na unasoma vitabu fid kwa watu wavivu sisi tunaandika atukopi kwenye vitabuHuyo mzee wa kukopi kwenye vitabu sawa hip hop anaijua lkn Joh ndio King.. anahits nyingi sana kuliko Fid Q
Kipi kinaingiza mkwanja mrefu kati ya anachokifanya fid q na anachokifanya johmakini?
Ukipata jibu hapo ndiyo utakua umemjua mkali ni nani.
haya.Kama suala la mkwanja kuwa wewe ndio mkali naomba na Shilole aongezwe kwenye list.