Hiram Abiff
JF-Expert Member
- Apr 14, 2013
- 896
- 676
Ni dharau kusema darasa kapewa kijiti cha hiphop bongo na neyMpaka Ney alishika kijiti? Huo ni mtazamo wako na list yako ya wasanii wa kurap unaowapenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni dharau kusema darasa kapewa kijiti cha hiphop bongo na neyMpaka Ney alishika kijiti? Huo ni mtazamo wako na list yako ya wasanii wa kurap unaowapenda
kuna yule kijana wa AJE hana mpinzani!je kwa upande wa bongo flava nan anashikilia kijiti now
Asantekuna yule kijana wa AJE hana mpinzani!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu jamaa sijui anasema nini aiseeeNi dharau kusema darasa kapewa kijiti cha hiphop bongo na ney
bilnas level zake ni chini sanaBilnas hana lolote anachana kama mtoto wa kindergaten
Usijifanye kusahau PERFECT COMBOdarasa mkali wa hiphop kwa sasa
kama ni tuzo
apewe...
ipigwe nusu nusu vs kama utanipenda
au dont bother kwa too much...
darasa katisha kinoma noma [emoji122][emoji122]
Sio dharau ni tusi kabisa mkuu.Ni dharau kusema darasa kapewa kijiti cha hiphop bongo na ney
Cheko la majuto, ni kichekesho tosha kwa mtazamajiMajuto bado anamfunika Joti..
Endelea kupiga goti mkuu..Ntakuunga mkonoDarasa jamaa nilikuwa namuombea atoboe mana nyimbo zake nazielewa sana...anyway akaze tu
[emoji23][emoji23][emoji23] imebidi nicheke tu.Yani Nay amewahi kumiliki game ya rap Bongo??....Rest in peace rap game..
Teh teh...Huyu mtoa mada mapenzi yamemuelemea aisee...[emoji23][emoji23][emoji23] imebidi nicheke tu.