Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
"Darasa la 7 wataanza Mitihani Oktoba 7-8, Kidato cha 2 wataanza Nov 9 -20, wanaomaliza Kidato cha 4 na wa kujitegemea, wataanza Nov 23 hadi Disemba 11, na Darasa la Nne wataanza Novemba 25 - 26, 2020 " -Waziri wa Elimu, Prof Joyce Ndalichako.
"Kidato cha 5 wataanza kufanya mitihani Julai 24, na Julai 27 wataanza rasmi masomo ya kidato cha 6 na wanafunzi wapya wanaojiunga na kidato cha 5 utaratibu wao utatangazwa majina yatakapotolewa" - Waziri wa Elimu, Prof Joyce Ndalichako.
"Tangu tumefungua Shule na Vyuo Juni 1, tumekuwa tukifuatilia afya za wanafunzi wetu na mpaka Juni 16, hatujapokea kisa hata kimoja cha Mwanafunzi aliyepata Virusi vya Corona, hivyo muhimu sana kuendelea kuchukua tahadhari" - Waziri wa Elimu, Prof. Ndalichako.