Tetesi: Darasa la saba kufutwa, somo la maadili laanzishwa shule za msingi

Tetesi: Darasa la saba kufutwa, somo la maadili laanzishwa shule za msingi

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Nimepata taarifa zisizo rasmi,kama mdau wa elimu Tanzania,kuwa kuna mabadiliko makubwa katika elimu ya msingi yatafanyika hivi karibuni. Mabadiliko hayo yatahusu mitaala,masomo husika na muda wa elimu ya msingi. Kwanza,elimu ya msingi itaishia darasa la sita. Madarasa ya kutahini yatakuwa ni la nne na la sita. Baada ya hapo ni masomo ya sekondari.

Pili,yapo masomo yatakayofutwa na yapo yatakayoanzishwa. Mfano wa masomo yatakayofutwa ni masomo ya Teknolojia,Habari na Mawasiliano (TEHAMA). Mfano wa somo jipya ni lile la Maadili litakalofundishwa pamoja na somo la Uraia. Litaitwa Uraia na Maadili.

Kwa miaka sita ya Shule ya Msingi,ni dhahiri kuwa wanafunzi watafika vyuo vikuu wakiwa bado wadogo. Itakuwaje huko Vyuoni? Dunia inategemea mawasiliano na teknolojia,TEHAMA kwanini isiendelee kuwepo? Nini hasa lengo la mabadiliko haya kwa mustakabali wa taifa letu? Natamani zibaki kuwa tetesi tu
 
Nianze kuomba radhiwkwa kuweka mada hii hapa badala ya Jukwaa husika la Elimu. Niwaombe wakuu Invisible na Active waiache mada hii hapa kutokana na umuhimu wake.

Nimepata taarifa zisizo rasmi,kama mdau wa elimu Tanzania,kuwa kuna mabadiliko makubwa katika elimu ya msingi yatafanyika hivi karibuni. Mabadiliko hayo yatahusu mitaala,masomo husika na muda wa elimu ya msingi. Kwanza,elimu ya msingi itaishia darasa la sita. Madarasa ya kutahini yatakuwa ni la nne na la sita. Baada ya hapo ni masomo ya sekondari.

Pili,yapo masomo yatakayofutwa na yapo yatakayoanzishwa. Mfano wa masomo yatakayofutwa ni masomo ya Teknolojia,Habari na Mawasiliano (TEHAMA). Mfano wa somo jipya ni lile la Maadili litakalofundishwa pamoja na somo la Uraia. Litaitwa Uraia na Maadili.

Kwa miaka sita ya Shule ya Msingi,ni dhahiri kuwa wanafunzi watafika vyuo vikuu wakiwa bado wadogo. Itakuwaje huko Vyuoni? Dunia inategemea mawasiliano na teknolojia,TEHAMA kwanini isiendelee kuwepo? Nini hasa lengo la mabadiliko haya kwa mustakabali wa taifa letu? Natamani zibaki kuwa tetesi tu
Kifupi ni kwamba wanaanza utekelezaji wa sera mpya ya elimu na mafunzo !!

Hata mitihani ya kidato cha pili haitasimamiwa tena kitaifa kuokoa gharama na hakuna mtoto atakayerudia.
 
Nimepata taarifa zisizo rasmi,kama mdau wa elimu Tanzania,kuwa kuna mabadiliko makubwa katika elimu ya msingi yatafanyika hivi karibuni. Mabadiliko hayo yatahusu mitaala,masomo husika na muda wa elimu ya msingi. Kwanza,elimu ya msingi itaishia darasa la sita. Madarasa ya kutahini yatakuwa ni la nne na la sita. Baada ya hapo ni masomo ya sekondari.

Pili,yapo masomo yatakayofutwa na yapo yatakayoanzishwa. Mfano wa masomo yatakayofutwa ni masomo ya Teknolojia,Habari na Mawasiliano (TEHAMA). Mfano wa somo jipya ni lile la Maadili litakalofundishwa pamoja na somo la Uraia. Litaitwa Uraia na Maadili.

Kwa miaka sita ya Shule ya Msingi,ni dhahiri kuwa wanafunzi watafika vyuo vikuu wakiwa bado wadogo. Itakuwaje huko Vyuoni? Dunia inategemea mawasiliano na teknolojia,TEHAMA kwanini isiendelee kuwepo? Nini hasa lengo la mabadiliko haya kwa mustakabali wa taifa letu? Natamani zibaki kuwa tetesi tu
Ndalichako ni mzuri, lakini kwa utawala huu atakuja kuwa kituko cha milenia! Atafute ushauri kwa wataalamu wasiojikomba!
 
Naamini somo la maadaili likiwapata walimu wa ukweli litawajenga sana watoto kimaadili na kuwa na taifa lenye maadili tofauti na sasa. Maadili huzaa uzalendo.
 
Najiuliza kulikua na haja gani ya kuifanya elimu iwe bure ilhali serikali sasa inakwepa mzigo wa gharama kwa kupunguza huduma? Ni kweli hiki ndicho watanzania walikihitaji?

Ni kweli watanzania walichoshwa na mzigo wa elimu bora waliyogharamia angalau na kuletewa elimu bure ya bana matumizi isiyo na tija? Mwanafunzi kufanya mitihani miwili tu yakuchapwa kwa mwaka ndicho hiki watanzania walihitaji?

YETU MACHO!!!
 
Majungu kutoka kwa wambea wa ufipa at work.

Kila siku mnaleta tetesi kuhusu utawala Wa Magufuli na mambo yao.

Tunaomba mtuletee na tetesi kuhusu kuondolewa uenyekiti mfalme Mbowe
kama walifuta michezo watashindwa kufuta TEHAMA
 
Majungu kutoka kwa wambea wa ufipa at work.

Kila siku mnaleta tetesi kuhusu utawala Wa Magufuli na mambo yao.

Tunaomba mtuletee na tetesi kuhusu kuondolewa uenyekiti mfalme Mbowe
Mkuu,si kila jambo ni siasa. Elimu ni suala la kitaifa. Jiongeze. Bure kabisa!
 
somo la "Maadili", why do i get the feeling hili somo litakuwa la kueneza propaganda shuleni
We live in a digital world, there was no need ya kufuta somo la TEHAMA
 
Hizi ni dalili za huyu waziri kufulia. Kwa kifupi tu ni kosa la weledi kufanya Physics na Chemistry kuwa compulsory hii ni kuua specialization, hii ina maana Commerce na Book keeping yatakuwa options, kwasababu ya mzigo mzito wanafunzi wengi wataya drop, so walimu wa sasa wa masomo hayo watafanya nini?. Baada ya kuboresha yeye anafuta na kuanzisha vitu visivyo wezekana. Shule za sasa zinashindwa kugharamia gharama za kusoma Physics na Chemistry kwa wanafunzi 50 wa form 3 na 50 wa form 4. Je wataweza kugharamia wanafunzi 400 kwa form 3 na form 4 ? Wafike chuo kikuu wadogo let say wakiwa 16 ili iweje? Hata Mungai aliaanza na mbwembwe hizi za bila utafiti na akadidimiza kila kitu. Hata huyu mama muna mpamba bure anaenda kupotea vibaya muno kwa kifupi tu atafelisha kwa kiwango ambacho hakijawahi kutokea, au kuficha aibu watakuwa wanafaulisha wanafunzi ila kule mbeleni wataonekena hamna kitu.
 
Nimepata taarifa zisizo rasmi,kama mdau wa elimu Tanzania,kuwa kuna mabadiliko makubwa katika elimu ya msingi yatafanyika hivi karibuni. Mabadiliko hayo yatahusu mitaala,masomo husika na muda wa elimu ya msingi. Kwanza,elimu ya msingi itaishia darasa la sita. Madarasa ya kutahini yatakuwa ni la nne na la sita. Baada ya hapo ni masomo ya sekondari.

Pili,yapo masomo yatakayofutwa na yapo yatakayoanzishwa. Mfano wa masomo yatakayofutwa ni masomo ya Teknolojia,Habari na Mawasiliano (TEHAMA). Mfano wa somo jipya ni lile la Maadili litakalofundishwa pamoja na somo la Uraia. Litaitwa Uraia na Maadili.

Kwa miaka sita ya Shule ya Msingi,ni dhahiri kuwa wanafunzi watafika vyuo vikuu wakiwa bado wadogo. Itakuwaje huko Vyuoni? Dunia inategemea mawasiliano na teknolojia,TEHAMA kwanini isiendelee kuwepo? Nini hasa lengo la mabadiliko haya kwa mustakabali wa taifa letu? Natamani zibaki kuwa tetesi tu
TEHAMA mpaka sasa haitekelezeki, zaidi zaidi inaleta ubaguz kuwepo kwenye mtaala maana kuna vijiji watoto hata computer hawaijui au iyo TEHAMA imewekwa kwa ajili ya kuwabagua watoto wa vijijin? Nionacho mimi serikali iwe inajipanga kuliko kuleta vitu vipya kwenye elimu vitu ambavyo vitawabagua wengine, kama tunataka TEHAMA tuboreshe kwanza mazingira ya kufundishia na kujifunzia ya somo hilo alafu ndo tuseme tunafundisha TEHAMA,Utashangaa hata hilo somo la maadili unalosema Teaching Resources and Materials zake zitatoka kichwan kwa Mwl na si vitabuni
 
VIpi bado wataendelea kufindisha kwa Kiswahili? na kama ndio tutaendelea kuburuzwa... akili huanzwa na Msingi ndo tabu
 
somo la "Maadili" why do i get the feeling hili somo litakuwa la kueneza propaganda shule
We live in a digital world, there was no need ya kufuta somo la TEHAMA

Somo la maadili lina umuhimu wa pekee, we watafute wanafunzi waliosoma Sekondari ya Loyola ndiyo utajua ninacho maanisha hapa.

TEHAMA ianze kufundishwa Sekondary sio shule ya msingi.
 
Back
Top Bottom