Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 333
Inakuaje hata mtu mwenye elimu ya Darasa la 7 vigezo vinamruhusu awe spika? Eti ajue kusoma na kuandika tu. Hivi watunga sheria walikuwa wamelewa au?
Bunge ni kiungo muhimu sana kikiwa muhimili mmojawapo wa serikali baada ya Rais+ baraza la mawaziri na Mahakama, iweje mihimili mingine viongozi wake wawe na elimu kubwa huku spika wa Bunge aweze kuwa la 7?
Mbona Jaji mkuu hawezi kuwa na Elimu ya la 7? Hii sheria ya ajabu sana katika sheria za Tanzania.
Haiwezekani chombo nyeti kinachopitisha sheria na bajeti ya nchi kiwe na kiongozi la 7 ukizingatia spika anaweza kuwa Rais wa JMT.
Wanasiasa acheni unafiki wa kutunga sheria zinazowabeba.
Bunge ni kiungo muhimu sana kikiwa muhimili mmojawapo wa serikali baada ya Rais+ baraza la mawaziri na Mahakama, iweje mihimili mingine viongozi wake wawe na elimu kubwa huku spika wa Bunge aweze kuwa la 7?
Mbona Jaji mkuu hawezi kuwa na Elimu ya la 7? Hii sheria ya ajabu sana katika sheria za Tanzania.
Haiwezekani chombo nyeti kinachopitisha sheria na bajeti ya nchi kiwe na kiongozi la 7 ukizingatia spika anaweza kuwa Rais wa JMT.
Wanasiasa acheni unafiki wa kutunga sheria zinazowabeba.