Darasa la ujenzi la Madrassatul Abraar latunukiwa Tuzo ya ubunifu wa ujenzi kutoka Shirika la Uingereza

Darasa la ujenzi la Madrassatul Abraar latunukiwa Tuzo ya ubunifu wa ujenzi kutoka Shirika la Uingereza

Abdul Ghafur

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2017
Posts
610
Reaction score
749
Asalaam Alaikum

Mabaharia wana msemo wao "one day yes", nasi, Abraar Bricks Nyumba kwa wote tunamshukuru Allah, wiki hii iliyopita tulikua na "Yes" double.

Yes zetu zote mbili zilikuwa ni matunda ya ubunifu, juhudi na ustahamilivu wa kuamini kuwa tuyafanyayo yanazingatia ubora wa Hali ya juu kwa gharama nafuu kwa faida ya jamii.

Yes yetu ya kwanza ni kwa kutunukiwa tuzo na shirika la Kingereza lililouona ubunifu wetu wa ujenzi kwa kutumia bidhaa tunazozalisha kwenye kiwanda chetu kidogo cha vifaa vya ujenzi. 👇🏽

IMG-20220619-WA0011.jpg


Tabaraka Allah.

Abraar Bricks award winning staircase 👆🏾

Hizo ngazi, kuanzia kuunda vifaa vyake vyabiujejgea mpaka kujenga kwake, vyite vimefanywa na wanafunzi wakisimqmiqa na walikunwao wa ujenzi kwa vitendo.

Ngazi hizo zinaweza kujengwa kwenye jengo lolote iwe la chini au la ghorofa nyingi. Kwa Gharama nafuu na ubora wa hali ya huu.
 
Katika muendelezo wa ubunifu wetu kwenye ujenzi, tumefanikiwa kuanza kumjengea (ujenzi unaendelea) mteja wetu, nyumba ya kipekee...
 

Attachments

  • 20220709_100655.jpg
    20220709_100655.jpg
    1.2 MB · Views: 62
  • 20220709_100736.jpg
    20220709_100736.jpg
    1.7 MB · Views: 60
Endelea na kazi Abdul. Unafanya mageuzi katika ujenzi Tanzania.

nimeupenda huu ujenzi wa hiyo nyumba, naona haijakaa skwea. Kama una picha zaidi tupia tuzione.
Asante sana Bi Faiza, picha zipo nyingi sana na maelezo ni marefu kiasi, tunapandisha kila tunapopata nafasi, ukipenda, wasiliana nami kwa whatsapp 0625249605 nitakutumia na nitakupa ruhusa ya kuzirusha tena upendapo.

Asante.
 
Katika muendelezo wetu wa ubunifu, tumejuja na hizi pavers za kipekee Tanzania:


Bofya hapo juu ujionee.
 
Back
Top Bottom