Darasa leo 'utapafomu' wapi, After school bash au EATV awards?

Wajilambe wenyewe kwanza kila MTU anamaisha yake
 
Hapana bos malalaiko yangu yako sahihi, uliwahi ona wapi tuzo mtu ana ambiwa akachukue form!!?
Only in Tz, nawapongeza sana kwa kufanya tuzo iwepo, lakoni moja ya mapungufu ni nominees kujipendekeza
Umepiga kura lakini? [emoji23] [emoji23]
Hauruhusiwi kulalamika kama hujapiga kura.
 
Hapana bos malalaiko yangu yako sahihi, uliwahi ona wapi tuzo mtu ana ambiwa akachukue form!!?
Only in Tz, nawapongeza sana kwa kufanya tuzo iwepo, lakoni moja ya mapungufu ni nominees kujipendekeza
Sio lazima kuiga kila kitu kwenye tuzo flani kila tuzo huwa na criteria zake mkuu.
 
Sio lazima kuiga kila kitu kwenye tuzo flani kila tuzo huwa na criteria zake mkuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Iceman 3D anakupigia hesabu hapo mkuu akujibu jibu gani litakalokufurahisha, kifupi atakuja na mifano ya grammy, BET, Afrimma, MTV mama.


Ukumbi umependeza mkuu utasema Tunzo za MTV MAMA.
 
Heee basi me najuaga eti tunzo zozote ni lazima muhusika ajaze form,kwahiyo na KTMA walikua hawajazi kumbe? Hata hizo za nje pia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…