Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Na hapo ndio umuhimu wa wasanii kuwa na management maana ikitokea hakwenda kwenye show fulani hawatamuelewa wakati alikuwa ana nafasi ya kusema nitakuwa na show sehemu fulani huko sitaweza..... japo ni muda tofauti lakini ili kufanya seriuos show alitakiwa kukubali show moja kati ya hizo.Hii sasa ni too much,na ole wake asitokee kwenye shoo mojawapo atakuwa keshajiingiza kwenye bifu nao.