johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,730
Akili za utoto tu na wivu wa kipumbavu. Mbna wao wakati wanazunguka mikoanimwezi hakuna aliyewaghasi?But clouds walibidi watumie busara.. Kwann wenzao wana awards wameweka shoo
hapo tu ninapomuona ruge hana akili