Harmonize ameanza kuipigia promo show yake ambayo inafanyika mnamo wa tarehe 5 March, katika matangazo hayo amewa-list wasanii wengi wa nje na wa ndani, ila Jux na Darrasa wamem-maindi baada ya kuyaweka majina yao bila ya kuongea na management zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alaf majina Yao akayaondoa?kick hizo hamjawasoma tu wamekubaliana kutokukubaliana
Hivi ni ule uwanja uliokuwa katikati ya shule ya JICA na Tabata Shule, wenye michanga mingi? au kuna mwingine.Sasa party inafanyika Tabata shule alafu anataka brotherman Jux akaimbe huyu konde kaishiwa kabisa
Itakuwa pale pale tu maana hamna sehem wasanii wana perform Tabata shule zaidi ya pale. Unless wachukue ukumbi pale Greenlight Hotel!Hivi ni ule uwanja uliokuwa katikati ya shule ya JICA na Tabata Shule, wenye michanga mingi? au kuna mwingine.
Yani amerudi 6 years back😅 international artist kufanya shows za buku 5 hadi 10 duh! Kweli njaa iko real.konde anapoelekea siko
😀😀😀😀 duuu Konde anazingua.Itakuwa pale pale tu maana hamna sehem wasanii wana perform Tabata shule zaidi ya pale. Unless wachukue ukumbi pale Greenlight Hotel!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa party inafanyika Tabata shule alafu anataka brotherman Jux akaimbe huyu konde kaishiwa kabisa