Akili ya kubeti
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 417
- 636
Kubet sio ajira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We stress zako kwani hii habari ni ya uongo?
Una payuka kama unamimba changa.
Tuache kwenda kitambaa cheupe twende kwenye vumbi kusikiliza yoy yoo thubutu.Itakuwa ni pale pale sioni tofauti na hapo, otherwise wafanye pale pembeni ya hospitali. Sasa pale sijui hata parking itatoka wapi ni heri angeenda Mbagala kule ana ndugu zake wengi ila Tabata sidhani kama kuna type ya disco vumbi.
mstari wa kwanza na wa tatu utawaona
Pale hakuna management hata kidogo ....dogo anakurupuka sanaKondegang Management imekosa professionalism kabisa..na huenda hao ni wachache walowekwa bila concern yao
Cheki hiyo ya pili
Upendi kuona mmakonde mwenzako akisemwa nimeipenda Sana hii spirit mlionayo wamakonde hongereni Sana kwenye hiliNaona wadada mnashindana kumchamba mmakonde..
🤣🤣🤣 mamaee 🤣🤣🤣Sasa party inafanyika Tabata shule alafu anataka brotherman Jux akaimbe huyu konde kaishiwa kabisa
Mkuu 🤣🤣🤣🤣 nyeto imeingiaje aje hapo?? 🤣🤣🤣🤣🤣Ni ushamba sana maaana ukute kuna promota alimtaka jux labda akiona tangazo anahairisha kumbe jux mwenyewe hana taarifa kama anashow hahaha. Ni sawa unapita sehemu unasikia watu wanasema una demu mkali unabaki kushangaa demu mbona niko single mwaka sasa nakula nyeto.
hahahahahaMkuu 🤣🤣🤣🤣 nyeto imeingiaje aje hapo?? 🤣🤣🤣🤣🤣
Nilijua tu juma lokole lazima utanikoti..Upendi kuona mmakonde mwenzako akisemwa nimeipenda Sana hii spirit mlionayo wamakonde hongereni Sana kwenye hili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa party inafanyika Tabata shule alafu anataka brotherman Jux akaimbe huyu konde kaishiwa kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahlaana ya kutembea na mama zake kina kajala , ndio zinaanza kufanya kazi sasa
Sasa uyo jux ana ngoma gani zakuimba tabata ??Sasa party inafanyika Tabata shule alafu anataka brotherman Jux akaimbe huyu konde kaishiwa kabisa
Jux aimbe kwenye tamasha la valentine ndio litamfaa huko tabata atapigwa chupa tu baada ya kuboa watu na nyimbo za kut**m*a**naSasa uyo jux ana ngoma gani zakuimba tabata ??
Jux hawezi imba kwenye vumbi ana mashabiki wake classicSasa uyo jux ana ngoma gani zakuimba tabata ??
Sasa greenlight pana nafasi gani ya kutosha pale? Au kwa kuwa nipo mkoani sijapaona kwa muda mrefu!Itakuwa pale pale tu maana hamna sehem wasanii wana perform Tabata shule zaidi ya pale. Unless wachukue ukumbi pale Greenlight Hotel!