Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Acha kumshushia hadhi teacher 🤣🤣Yani amerudi 6 years back😅 international artist kufanya shows za buku 5 hadi 10 duh! Kweli njaa iko real.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumshushia hadhi teacher 🤣🤣Yani amerudi 6 years back😅 international artist kufanya shows za buku 5 hadi 10 duh! Kweli njaa iko real.
Teacher anaelekea kuwa mwalimu sasaAcha kumshushia hadhi teacher 🤣🤣
Anaandika avyoongea kama Kiswahili.Hivi SISTERS ndio Kwa kimakonde wanaita SISTARS ?
H baba atampa backupTeacher anaelekea kuwa mwalimu sasa
H baba mwenyewe chawa tuH baba atampa backup
Watu walimsaport kuondoka kwa Diamond. Ndio utaona utofauti mkubwa kati ya Diamond na wasanii wengine. Angekuwa bado kwa Wasafi angekuwa na jina kubwa sana mpaka sasa. Na angekuwa bado yuko vizuri kiuchumiYani amerudi 6 years back[emoji28] international artist kufanya shows za buku 5 hadi 10 duh! Kweli njaa iko real.
Noma kweli yani pale Wasafi Brand kubwa sana yani! Huwezi fananisha na Konde Gang halafu alijimaliza ku sign wasanii wengi ghafla.Watu walimsaport kuondoka kwa Diamond. Ndio utaona utofauti mkubwa kati ya Diamond na wasanii wengine. Angekuwa bado kwa Wasafi angekuwa na jina kubwa sana mpaka sasa. Na angekuwa bado yuko vizuri kiuchumi
Muda mwingine tamaa zinaponza sana kwamba nikiwa peke yangu nitapata nyingi sana. Kumbe hakujua alikuwa anatembelea nguvu ya mond.
Kuiga na kutaka kujionyesha kwamba yeye nae anaweza na kushindana. Ushamba ni mzigoNoma kweli yani pale Wasafi Brand kubwa sana yani! Huwezi fananisha na Konde Gang halafu alijimaliza ku sign wasanii wengi ghafla.
Mzigo haswaaKuiga na kutaka kujionyesha kwamba yeye nae anaweza na kushindana. Ushamba ni mzigo
Itakuwa ni pale pale sioni tofauti na hapo, otherwise wafanye pale pembeni ya hospitali. Sasa pale sijui hata parking itatoka wapi ni heri angeenda Mbagala kule ana ndugu zake wengi ila Tabata sidhani kama kuna type ya disco vumbi.Hivi ni ule uwanja uliokuwa katikati ya shule ya JICA na Tabata Shule, wenye michanga mingi? au kuna mwingine.
I thought celebrities ni watu?? Na anaeingia jukwaa la celebrities anakuja kujadili na kusoma story kuhusu watu sio miti wala milima. 🙆Kumekucha tena.
Siku mpya.
Tunajadili Watu🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna kujadili celebrities na kujadili Gossips.I thought celebrities ni watu?? Na anaeingia jukwaa la celebrities anakuja kujadili na kusoma story kuhusu watu sio miti wala milima. 🙆
Ngoja KondeGang waje kukuvamia [emoji1787]I thought celebrities ni watu?? Na anaeingia jukwaa la celebrities anakuja kujadili na kusoma story kuhusu watu sio miti wala milima. [emoji134]
Soma vizuri ulichokiandika kwanzaKumekucha tena.
Siku mpya.
Tunajadili Watu🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣laana ya kutembea na mama zake kina kajala , ndio zinaanza kufanya kazi sasa
We stress zako kwani hii habari ni ya uongo?Kuna kujadili celebrities na kujadili Gossips.
Kinachojadiliwa hapa Ni Gossiping kitu ambacho Ni AIBU kwa mwanaume kufanya.