View attachment 449528Mkuu chukua hiyo ukanywe soda
20% alipotea hivi hivi.aliwahi kupiga tuzo tano kwa mpigo.akaongeza kisa cha kuvuta bange badala ya kutunga nyimbo.Kabla hamjafahamu huwa anakunywa bia na analewa sasa mnampangiaje maisha?
https://www.jamiiforums.com/search/8444586/?page=2Leta post hata moja hapa au leta link mimi uzushi sipend.
Hahahongeza mmoja
https://www.jamiiforums.com/search/8444586/?page=2
cheki humo umefuatilia post ngapi za diamond na hata kama ushafuatilia post za msanii mwengine ndo yanaitwa mahaba hayo
hahahahahahKama alikuwa moshi wala sio tatizo....
Nahisi alitaka acopy na watu wa moshi...[emoji41]
Sasa nimeelewa halafu kuna maneno aliongea baada ya ajali akisema hawatuwezi ...kweli ilikuwa pombe ile.Darassa ni mlevi hata ile ajali walipata wakiwa wamelewa
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mbona tembo hana jino moja? mkuu utasaidia kueleza Faru John yupo wapi!!
aiseeeAnakunywa na kuvuta mineli hatari. Kuna show flani hapa morogoro club inaitwa downtown alifanya hovyo sana kwasababu ya hayo makitu
huyo nimlonzi naogopa kumtajaUmemusahau Mshana Jr.
Sahivi akikosolewa mnaona kama anaonewa gere, siku akifulia ndio wa kwanza kuwacheka, mtaanza kusema 'alizidi ulevi', 'tulimwambia aache kutumia ngada', kama mnavyowacheka sahv wakina 20% na Mr. NiceKabla hamjafahamu huwa anakunywa bia na analewa sasa mnampangiaje maisha?
Hii show ya club downtown nilikuwa pale MG hotel opposite na hiyo club.. Niliwasikia watu wanasema jamaa yuko bwiiii ameharibu show.. Sikuchukulia serious sana nikajua labda Bahati mbaya tu.. Ila sasa kama kumbe ni tabia yake inabidi ajitathimini upya..Anakunywa na kuvuta mineli hatari. Kuna show flani hapa morogoro club inaitwa downtown alifanya hovyo sana kwasababu ya hayo makitu
Cjaona chuki yoyote ya mleta uzi. Kuwepo klabu haimaanishi kila aliyekuwepo pale ana access ya JF,au ni lazima aandike huku. Big up mleta uzi!Kabla sijacomment habari yoyote huwa naenda all content ya mtu aliyepost..we jamaa ni hater na habari yako imekaa kimipasho..kweli vijana wa muziki wa ujanja ujanja mnapenda fitna...Moshi nzima ubaki weye tu na hearsay zako au club nzima ndani ulikua weye?acha umbeya mtoto wa kiume kumshusha darasa sio kumpandisha diamond