Akiwa anaimba huku amelewa.We lofa kwel picha ya nini akiwa analewa au anaimba??
Kinachonitatiza... Huyu Darasa yuko JF au ndo biashara ya kupaka upepo rangi??Ulevi ni mbaya hasa ukisababisha kushindwa kutimiza wajibu wako.
Darasa anaonekana kabisa ni mnywanji lakini sikudhani kama anaweza kunywa kufikia kushindwa kutimiza wajibu wake.
Nashukuru kwa kumwambia ukweli na huo ndio ushabiki wa kweli ikiwezekana ajitazame na kubadilika.
Najua Darasa anapendwa sana na wengine wanaweza wasikuamini kwakuwa wanampenda sana hata kama uliyo yasema ni ukweli lakini najua umetimiza wajibu wako.
Pengine wimbo wake umekuwa mkubwa sana hadi ameshindwa kuhimili kishindo cha wimbo wake.
Hapa ndio utajua umuhimu wa management....
Darasa kama kweli unakunywa hadi unashindwa kutimiza wajibun wako basi acha ulofa na ubadilike..huu ni wakati wako hakuna nafasi nyingine.
We pimbi unatuchukuliaje sisi watu wa Kiborloni.Kama alikuwa moshi wala sio tatizo....
Nahisi alitaka acopy na watu wa moshi...[emoji41]
Sasa mimi na wewe nani pimbi..?We pimbi unatuchukuliaje sisi watu wa Kiborloni.
Hakuna mtu 'anavuta' unga. Ni sigara na bangi tu ndo zinavutwa.Nitashangaa sana nikisikia Darasa havuti unga
Kuna muuzaji dawa ya ulevi humu anaitwa mbereWeka picha
Kalewa sifa
Muda wowote anakuwa Sam -waukweli
[emoji16][emoji16][emoji16] anatuchukulia poa poaWe pimbi unatuchukuliaje sisi watu wa Kiborloni.
Nimemuona leo mitandaoni kapiga picha na transforma chocheo la zamani,naye wa kujiangalia na wimbo wake mmojaSasa nimeelewa halafu kuna maneno aliongea baada ya ajali akisema hawatuwezi ...kweli ilikuwa pombe ile.