Darasa Punguza ulevi

Darasa Punguza ulevi

Darasa homeboy anakunywa tangu kitambo sana kabla hata hujamjua. Blah blah hatutaki kusikia
 
Kweli kama braza anabwia kihivyo hatafanikiwa kwa sababu ndo kwanza katengeneza hit single iliyomlipafaida sana. na hata mwaka haujaisha ashaanza kujiona star kweli atapotea pabaya sana.

Nikimcheki alivyo hardcore naumia mchizi namkubali sana.
 
Darasa inabidi ...ajilinde sana maana ...ameshaonekana ni threat.....watamtafuta kila pahala wamchafue.....wapaka mav.vi walioajiriwa wapo wengi......ila kama ni chapombe kweli ajicontrol....maana ataangukia pua kweli kweli....atumie muda mwingi kufikiri namna ya kuexpand
 
Ulevi ni mbaya hasa ukisababisha kushindwa kutimiza wajibu wako.
Darasa anaonekana kabisa ni mnywanji lakini sikudhani kama anaweza kunywa kufikia kushindwa kutimiza wajibu wake.
Nashukuru kwa kumwambia ukweli na huo ndio ushabiki wa kweli ikiwezekana ajitazame na kubadilika.

Najua Darasa anapendwa sana na wengine wanaweza wasikuamini kwakuwa wanampenda sana hata kama uliyo yasema ni ukweli lakini najua umetimiza wajibu wako.
Pengine wimbo wake umekuwa mkubwa sana hadi ameshindwa kuhimili kishindo cha wimbo wake.
Hapa ndio utajua umuhimu wa management....
Darasa kama kweli unakunywa hadi unashindwa kutimiza wajibun wako basi acha ulofa na ubadilike..huu ni wakati wako hakuna nafasi nyingine.
Kinachonitatiza... Huyu Darasa yuko JF au ndo biashara ya kupaka upepo rangi??
 
Kuna MTU anauza dawa za kuacha pombe sijui ule Uzi uko WAP nataka mtafuta mana Nina ndugu yangu kwa kweli ameshindikana kabisa
 
Sasa nimeelewa halafu kuna maneno aliongea baada ya ajali akisema hawatuwezi ...kweli ilikuwa pombe ile.
Nimemuona leo mitandaoni kapiga picha na transforma chocheo la zamani,naye wa kujiangalia na wimbo wake mmoja
 
Huyu kijana kaimba maneno hata kwenys kanga yapo....acha maneno weka muziki
 
Back
Top Bottom