Asikudanganye mtu hao hawavuti unga sababu ya stressntamshangaa kama kaanza kuvuta maana kama show anapiga, ngoma zake zinachezwa redioni kama kawaida sa sijui hizo stress anazitoa wapi.
ungekuwa upo mjini since then usingeshangaa hii taarifaSasa mbona hujasema
Duh! Sjui nan anawaloga wasanii wa hiphop
Lakini hapa katikati si kapiga pesa sana inamaana hakufanya cha maana cha kumuingizia pesa, Dah hawa wasanii bwana
Asikudanganye mtu hao hawavuti unga sababu ya stress
1.starehe
2.mkumbo
Sijaelewa😑"Nimegundua leo snitch kumɓe neighbour,dogo anakana daily asniff kumbe teja" nikki mbishi#kanda maalum #wakazi
Sent using Jamii Forums mobile app
umbeaKuna taarifa zinasambaa kuwa darasa (C,M,G) amekuwa teja ...inasemakana hata studio aonekani ....producer wake Mr T.Touch amesema anasiku kibao aonekani studio...aisee Leo ndo nimeamin bongo Nyoso.
Yaan wabongo mmetumia nguvu ya Umma kuhakikisha mnampoteza darassa kwenye game.