monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Jamaa anaeleweka vzr sana,there is nothing new around the story!Huu mzigo kama katuni za masudi kipanya full mafumbo, dah kweli shule muhimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anaeleweka vzr sana,there is nothing new around the story!Huu mzigo kama katuni za masudi kipanya full mafumbo, dah kweli shule muhimu.
Tumia akili Huwa hatabasamu hapo kwenye avatar!!huyu ni pisi kali Nita m pm nijaribu kuomba ni mtoe out anaweza kunipa ka connection la kuingia kitalani!!Hata sisi ni stori tu mpendwa, shusha vitu.
Ama wewe ni Tumia akili
Hua anasema ana ID anayoitumia kimkakati.Tumia akili Huwa hatabasamu hapo kwenye avatar!!huyu ni pisi kali Nita m pm nijaribu kuomba ni mtoe out anaweza kunipa ka connection la kuingia kitalani!!
Ukiendeleza uni tag ma'am!!Jamani mnataja watu mie sijawataja [emoji16][emoji16][emoji16] please hii ni story tuuu wapendwa [emoji41][emoji16][emoji23][emoji28]
75% atakua ...Huyu deep informer ni nani?
Code juu ya code[emoji23][emoji23]75% atakua ...
Ningeshangaa nisikuone we dada kwenye story 🤣🤣🙌
Mkuu unanifatilia wewe ila vizuri. [emoji16]Ningeshangaa nisikuone we dada kwenye story [emoji1787][emoji1787][emoji119]
Wanaanziaga mbali hivi hiviMkuu unanifatilia wewe ila vizuri. [emoji16]
Hahhaha maana kila nikiwa kwenye story lazima aniambieWanaanziaga mbali hiv hiv
T 2021Huyu deep informer ni nani?
nilikuona Kwa Lwanda magere .......sijui ulienda Telegram maana story ulikua unafatilia episode Kwa episode...... na kila palipo na Stori napoifatilia sikukosi ........Mkuu unanifatilia wewe ila vizuri. [emoji16]
Uko telegram sipo kabisa basi wote wawili ni wafatiliaji wazuri wa story mkuunilikuona Kwa Lwanda magere .......sijui ulienda Telegram maana story ulikua unafatilia episode Kwa episode...... na kila palipo na Stori napoifatilia sikukosi ........
Sema fresh ....Enjoy ...[emoji106]
nàfikiri jukwaa la siasa halihusiani nasi ......🤝😃Uko telegram sipo kabisa basi wote wawili ni wafatiliaji wazuri wa story mkuu