Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Naimani Born town atamuwahi kumlambisha mchanga New CEO baadae atakalia kiti brother K ambaye atakua na swaga za late CEO ila gang la late CEO litakuja kulipa kisasi kwa born town.

Here we go!
Nachanganyikiwa, mtunzi wa hii riwaya nisaidie kitu. Old CEO na born town ni wahusika tofauti katika hii riwaya?
 
Kama kawaida yao state wanatoa TAARIFA ya kupika kama HII kabla hawajafanya jambo lao!!wanatuandaa kisaikolojia yatakayofuata soon!!ionekane kuna migogoro ya timu tatu tofauti ILI wao wapitishe mtu wao asie wa upande wowote yaani awe wa Kati wanaemtaka!!na wameshaanza kumsafishia njia kwa nyuzi kama hizi!!!ILI umma ujiandae kwa Mabadiliko na ingizo jipya!!!
 
Kama kawaida yao state wanatoa TAARIFA ya kupika kama HII kabla hawajafanya jambo lao!!wanatuandaa kisaikolojia yatakayofuata soon!!ionekane kuna migogoro ya timu tatu tofauti ILI wao wapitishe mtu wao asie wa upande wowote yaani awe wa Kati wanaemtaka!!na wameshaanza kumsafishia njia kwa nyuzi kama hizi!!!ILI umma ujiandae kwa Mabadiliko na ingizo jipya!!!
Kwahiyo Mkuu kabla ya december riwaya itakua imefika mwisho?
 
Back
Top Bottom