Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Msichoke kutufundisha. Hata Naftali alivyotoka Tanga kuja Dar hakuwa akifahamu kiswahili.

Ni baada ya kuozwa binti wa kiswahili na yule tajiri yake Goa, ndipo akafunzwa lugha na kubadili dini akaitwa Ali.

Uliwahi kusimuliwa haya?! 😆😆😆
Endelea kujifariji, hujakosea.

Wengi sana wameiona Nuru ya Allah kupitia "totoz" za Kiislaam, si jipya hilo.
 
Acha kutupigia kelele na mwandiko wako huu. How mambo ya giza yapende mwanga? Nenda kasome, cheti chako feki hakilalishwi na yeyote! Kama ulifikiri yale yalikuwa mambo ya Magu tu basi mwambieni mama awarudishe na vyeti vyenu.
Acha hizo, huyo Jiwe alikuwa muuaji na mwizi, pia uraia wake na elimu vyote vilikuwa na utata. Aliyejaribu kufatilia alifyekelewa mbali. Ref Bensanane
 
Kama ualimu ni wito basi ni vyema tukawaita watawa
Hilo jina ni sahihi.
Ukiona nyuzi au comment yoyote humu kuhusu kulialia mshahara au sijui umeiingia au bado, basi jua huyo ni Mwalimu. Fuatilia nyuzi zake za nyuma utagundua
Walimu wamekua watu wa hovyo sana huku mitandaoni. Mbona madaktari au wafanyakazi wa taasisi zingine Kama Nssf, TRA, PCCB, wanajeshi, n.k hawana huu ujinga mitandaoni
 
Huku tuliko ni saaa 17:03 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] najua huko mmelala saa hii,[emoji1787] anyway na ki oppo changu old model[emoji1787] mambo ni mengi sana, kuna watu wanataka simulizi iendelee wengine wanataka wapate na mambo current na yajayo!! Kimya hiki kina mambo mazuri yaja![emoji1787][emoji1787][emoji1787] Acha tumalizie tour[emoji2957]

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Tafadhali tupe ahadi ya lini tour inaisha ili tupate muendelezo pamoja na current issues. Tuna kiu Dada Yoga ujue!
 
Hv hii series imefika episodes ya ngapi?
imeishia pale Branch Manager anambembeleza Late CEO ampe amjukumu ya kummaliza assistant wa Mr Culture, ndio kisa hasa ya kupewa ufupisho wa kiherehere cha Branch Manager kuwa karibu hivyo kutafuta ukuu
Huku Mama anaupiga mwingi, mambo mazuri majuu siku akirudi naona mwendelezo utaenda faster
 
Back
Top Bottom