StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Geuza,anzia kuliaHivi Mr Zizia ndy yupi wakuu??
Tulia wewe huna la maanaAcheni kumsingizia na kumpaka tope mstaafu wetu Msoga. Vitu vingine tumieni akili, hivi inaingia akilini amuache miaka yote 6, halafu am terminate akiwa amebakiza miine? Ni upotoshaji, acheni ku make conspiracy theories kwa mzee Msoga.
Acheni apumzike. Ni kweli Jiwe alikuwa mgonjwa na ndio maana kuna rumors kuwa aliomba mpaka upako kabla hajafa, na alijijua kuwa alikuwa mgonjwa.
Narudia, acheni mzee apumzike msimpake shombo.
Na stori za hivi zipo nyingi sana kila mtu anaongea anachojua. Kwenye tukio lolote lile ni lazima conspiracy theories zinakuwa nyingi sana. Acheni hizo bhana,muacheni mzee msoga apumue, msimuonee mzee wa watu.
#StopConspiracyTheories
Huyo ni Rosti Kiazi....Kwenye jina la Ziazia nimetoka kapa aisee
Mimi napumua mkuu niko mzima. Ni kweli binadamu anaweza kukutanguliza mbele za haki kimya kimya na asiache ushahidi ila trust me hakunaga siri chini ya jua hili.Haswa
Ila kuna watu wanapanga kama wanavyotaka wao
Tunatangulizana tu
Mzima lakini?
Ulisikia? Sasa umethibitisha ni ukweli ndio maana umeuliza swali hili au nakosea?Wakuu Late CEO alipokata moto kuna tetesi nilisikia kuwa huyu Past Meridian (PM) hakuridhika kabisa kuongozwa na madam ! Vipi nae ana misheni gani kuhusu Maza??
Ukiona mtu anafanyiwa figisu juwa nae kuna sehemu aliwahi kufanya figisu. What goes around...............Hivi dini na siasa zinaingiliana sana mkuu???!! Amuache mama ana haki kikatiba labda wamfanyie figusu kama kawaida ya politics haya yanayoendelea chini kwa chini yanaogopesha kwakweli!!
Ahaaaaaaaaa mbavu zanguNaomba connection nipunguze njaa dia sio kwa haya madini ya hii kampuni!!!
Kabisa hauhusiani na mtu yoyote katika hii kampuni 😜!Ukiona mtu anafanyiwa figisu juwa nae kuna sehemu aliwahi kufanya figisu. What goes around...............
Dia twende na mwendo wa code, hii ni riwaya😉
Ndio maana nimeuliza ila wajuvi washatoa majibu!Ulisikia? Sasa umethibitisha ni ukweli ndio maana umeuliza swali hili au nakosea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawakujua Kama wangempoteza mazima. Ila location details watu walikuwa nazo.Wangejua wangesema kabisa labda angetoka akiwa hai.
Yeah ampe ujasiri kwakweli kuongoza kampuni sio mchezo!!Yuko vizuri kwenye kutupia vijimaneno Mungu azidi kumtunza tuendelee kupata burudani.
Huyo wa kwanza ana ndimi mbili kama swila, pili PM ktk mifumo ya Nchi hii ni mwiko kukalia kiti hicho. Akamuulize mzee wa mamvi
Yuko SA anaumwaHalafu the unknown hajonekana mda mref public cjui yupo wap?
Lile kundi la mkatoliki na stamina hivi bado lipo??Hivi Mr Zizia ndy yupi wakuu??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeh tupu.Ngoja tuone yetu macho na masikio tu.
Afu sasa anakupiga dongo la wazi huku unajua ni lako hilo.Hotuba zake sasa hivi nazisikiliza ili nione zamu ya nani kutupiwa dongo. Kuna mengine yanapenya mpaka unamuona mtu anatoa macho kama mjusi kabanwa na mlango.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] sasa nilie kwa maisha gani? Haya mafupi na ya tabu? Acha nifurahi mie khaaahKinaudhi hicho kitoto,kujichekesha hovyo kila sehemu.
Unaudhi bana sometimes[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] sasa nilie kwa maisha gani? Haya mafupi na ya tabu? Acha nifurahi mie khaaah