Dark days 17/03/20...

Tulia wewe huna la maana
 
Hivi dini na siasa zinaingiliana sana mkuu???!! Amuache mama ana haki kikatiba labda wamfanyie figusu kama kawaida ya politics haya yanayoendelea chini kwa chini yanaogopesha kwakweli!!
Ukiona mtu anafanyiwa figisu juwa nae kuna sehemu aliwahi kufanya figisu. What goes around...............

Dia twende na mwendo wa code, hii ni riwaya😉
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…