Nachanganyikiwa, mtunzi wa hii riwaya nisaidie kitu. Old CEO na born town ni wahusika tofauti katika hii riwaya?Naimani Born town atamuwahi kumlambisha mchanga New CEO baadae atakalia kiti brother K ambaye atakua na swaga za late CEO ila gang la late CEO litakuja kulipa kisasi kwa born town.
Here we go!
Ni mtu mmoya ila majina mengi[emoji16]Nachanganyikiwa, mtunzi wa hii riwaya nisaidie kitu. Old CEO na born town ni wahusika tofauti katika hii riwaya?
Hapo naanza kuelewa. Mtuzi tafadhali, nasubiri scene inayofuata. Sina usingizi hapa.Ni mtu mmoya ila majina mengi[emoji16]
Ilibidi nirudi kuangalia id yako vizuri kwanzaNaimani Born town atamuwahi kumlambisha mchanga New CEO baadae atakalia kiti brother K ambaye atakua na swaga za late CEO ila gang la late CEO litakuja kulipa kisasi kwa born town.
Here we go!
Nilitaka nikujibu ila malaika kanambia niache kimbele mbeleNachanganyikiwa, mtunzi wa hii riwaya nisaidie kitu. Old CEO na born town ni wahusika tofauti katika hii riwaya?
Ukakuta sio yeye.Ilibidi nirudi kuangalia id yako vizuri kwanza
Nilijua Tumia akiliUkakuta sio yeye.
Mkuu hii ni riwaya tu, wala usihangaishe kichwa.Nilijua Tumia akili
Kwahiyo Mkuu kabla ya december riwaya itakua imefika mwisho?Kama kawaida yao state wanatoa TAARIFA ya kupika kama HII kabla hawajafanya jambo lao!!wanatuandaa kisaikolojia yatakayofuata soon!!ionekane kuna migogoro ya timu tatu tofauti ILI wao wapitishe mtu wao asie wa upande wowote yaani awe wa Kati wanaemtaka!!na wameshaanza kumsafishia njia kwa nyuzi kama hizi!!!ILI umma ujiandae kwa Mabadiliko na ingizo jipya!!!
Kuna makundi humo kwenye kampuni na Kuna hatari kubwa, Ila sisi wengine tunafurahi maana wakitakaga hayo madaraka hufanya ukatili mkubwa sana kwa wengine. Wacha wamalizane, pengine tunaweza fika sehemu nzuri Kama nchiMmhhh, kazi ipo. Ngoja tuendelee kunywa mtori nyama tutazikuta chini.
Unahisi kwa nini aliondoka siku moja kabla?Hata mimi nimekuwa na Doubt sana yani Chief amuambie New Boss kuwa aondoke Mjini ili waclean Mess na New Boss aondoke? Sidhani ata kama alikuwa na hio Privilege ya Kusikilizwa ivo
Sitapuuzia tena hizi story, nilimpuuzia tumia akili, baadae ikawa kweli.Kampuni ina mauzauza mengi sana, baadhi ya kufikirika mengine ya kweli.
YUMOKWENYE ORODHA YA WALE WATANOHivi yule mwenye jina la daraja la ubungo nini kilipata mbona hichi kipande hakipo? au mimi ndiyo sikuelewa?