Dark days 17/03/20...

Ila tuseme ukweli yoga kuna muda kiingilshi unakosea japo watupa raha, siyo your it's you are.

Kwa utunzi huu unadhani yoga ni mtu wa kukosea grammar?

He/She is more smart than we think.

Hata kama ningekuwa mimi ndo mleta mada basi ningewaletea both broken swahili and english mpaka mseme nimeishia la 4D[emoji23]
 
Mkubwa Mungu, binadamu wote ni mavumbi. Heshimu wote ibaada kwake yeye awezaye kuua mwili na roho
 
Kaka humu tunasoma hadithi tamu tu ya kusadikika wewe tena unatuchanganyia habar zako za sias humu naona hazihusian
Anzia thread yako weka unatujazia tu space hapa
Huyu jamaa naona kichaa..sasa hayo masuala ya membe humu ya kazi gani..na kwanza taarifa hizo za kitambo sana.

Au anataka kuhamisha magoli..?

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…