Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mnalalamika baada ya kusoma, mngeruka tu mkamsubiri Yoga
Nimemiss sana! Alipigwa life ban [emoji23]Habari yako ndugu , Malaria Sugu amefia wapi aisee , hahahah
Tanzanite anaumwa toka alipojiapisha kumrudi Borntown kidogo kidogo hali ya afya yake imekuwa ikishiku kila kuchwao,jua mwishoni alikuwa swaiba wa late CEO wa kampuni.Tembo mmesema ni nanaci pole yake na mwanae, sasa hawa kina
anonymous, unknown & Tanzanite hizi codes tusaidieni jamani hasa watu wa arachugan mnaweza kuwakumbuka hawa wa3 walioopotezwa ghafla (mini branch manager alaaniwe )
Tayari kesha kuwa huru, kama namuona Born town na Mr Tembo wanavyomuangalia mwenye kigoda,bila shaka kuna mkono wa bi kigoda kama kumukomoa Bor town na genge lake,nae anavimbisha msuli.Wee jamaa mshamba, min branch atakuwa huru na atukuja kuwa kiongozi mkubwa nchi hii tatizo wewe unaangalia leo
nimeielewa Point yako saaana,Binafsi niliwahi kuwaza i kitu!! tusome ila tusibebe mambo km yalivyo...za kuambiwa Changanya na zako,,sombdy smwhere ni King wa Propaganda na sisi bongo tunapenda propaganda so anatupatia mdo mdoNimenusa vitu vingi sana kwenye hii kitu ambayo lengo kuu ni kuwaandaa watanzania kisaikolojia....Na watakaokuja na hizi topic ni watu kutoka angle mbalimbali na mitandao mbali mbali
Hii ni project ya muda mrefu na kama unaubongo wa kuku huwezi kuielewa ila Watanzania tuwe makini sana sana na tusipokuwa makini tunaenda kuvurugwa..
Kuna force ambayo iko nchi moja ya jirani ndio iko behind hii kitu na lengo ni kumplant mtu kutoka nchi jirani kuongoza hii nchi wakilichukulia advantage ya upepo wa kisiasa..
Nchi mbili jirani ni CIA agents na hii plan inakwenda kuwa excuted from head office hapo jirani...
Kama kweli the Late CEO (kama alivyokuwa blanded humu) alikuwa eliminated basi the one behind the show, ni hao hao with their long term plan, at the end of the day nchi itatekwa na wote tutakuwa mateka...TUWE MAKINI KUSHABIKIA HIVI VITU.....
huyu anayeitwa "Born town" tunaandaliwa tu kisaikolojia na huyu anayeitwa Mzee ambao wengi mmebland kama Mzee wa kusini wanaweza kuwa wahanga ili kuaminisha hizi hekaya kwa watu na watu muanini the mission done..
SKM gang watatumika hapa ila watakuwa overrun maana akili hamna wengi mang'ombe wanaowaza kuishi vizuri tu na jamaa wamepandikiza watu tele miongoni mwao, its long term plan wakichukulia advantage ya ukanda na mfanano wa makabila...
Tuwe makini Tanzania isije kugeuzwa mkoa wa nchi fulani and will be leading from headquater, watu wetu waamke sasa au labda ndio wameshatekwa nao maana wengi wanawaza kula bata na kuishi vizuri mjini tu ila userious na umakini zero....
Huyu anayeitwa "Born town" naye analijua hili si ajabu ndio muokozi wa hii nchi kutoka kwenye hesabu za wale jamaa chini ya yule jamaa "black cat".... Watch out...
Unamjaza unafikiri atashoboka na hiyo english 😂I just liked your gesture MISTER ; the narration is so magnificent.
Members, I think NOW is the time Atleast we should contribute something to our camarade: Nashauri kama hutojali utu PM your contact number for our great contribution.
Our Almighty Lord has been so good angalau the truth has been put in lies . Kindly PM your contact number so as to share our love and support.
Great narration my young brother ! Take care man.
Kitengo huyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mshamba anaonekana, approach ya kishambaUnamjaza unafikiri atashoboka na hiyo english [emoji23]
Yawezekana mkuu, ila uzuri burudani tunapataHii ni kwasababu anaandika haraka haraka ili atupatie burudani sasa anajikuta maneno saa nyingine yanajibadili yenyewe na hana muda wa kufanya marekebisho. (Pengine ndio sababu mkuu).
Pamoja mkuuKimakusudi, haushangai haiongelewi?
Jiongeze basi
Anahangaika kinomanomaKitengo huyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mshamba anaonekana, approach ya kishamba
Dah code ya huyu kijana ndo imenipita ata kwa kutumia four figure msaada